Tukubaliane kwanza kuwa Utendaji wa Hayati Magufuli akiwa Waziri wa Miundo mbinu ambapo alitumikia Taifa kwa zaidi ya miongo mitatu ulitia fora. Angalau kwa hilo tulimpongeza sana.
Jambo la pili ambalo tunakubaliana sote kwa pamoja ni kuwa Mh Adv Tundu Lissu alitia fora ktk vipindi vyote vya utumishi wake kama Wakili Msomi na pia kama Mbunge.
Alitenda wajibu wake impasavyo ikiwemo kuibua nyufa za wezi, kupambania haki na kutetetea utawa wa Sheria. Ni mtu aliyekuwa akiamini kwa wakati wote ktk Utawala bora.
Haiba yake ya usomi usiotia shaka unaothibitika pasi na shaka ktk hoja zake ulimfanya mtu huyu kupendwa sana.
Hii combination ya Tundu Lissu na Hayati Magufuli ingekuwa ni mkombozi kwa Nchi yetu.
Sifa ya pekee ya Hayati ni kuwa ametumikia serikalini anajua mianya yote ya wezi. Ndio maana wakati mwingine alikuwa hamwamini mtu yeyote.
Sasa tumejifunza na tuendelee kujifunza. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.
Jambo la pili ambalo tunakubaliana sote kwa pamoja ni kuwa Mh Adv Tundu Lissu alitia fora ktk vipindi vyote vya utumishi wake kama Wakili Msomi na pia kama Mbunge.
Alitenda wajibu wake impasavyo ikiwemo kuibua nyufa za wezi, kupambania haki na kutetetea utawa wa Sheria. Ni mtu aliyekuwa akiamini kwa wakati wote ktk Utawala bora.
Haiba yake ya usomi usiotia shaka unaothibitika pasi na shaka ktk hoja zake ulimfanya mtu huyu kupendwa sana.
Hii combination ya Tundu Lissu na Hayati Magufuli ingekuwa ni mkombozi kwa Nchi yetu.
Sifa ya pekee ya Hayati ni kuwa ametumikia serikalini anajua mianya yote ya wezi. Ndio maana wakati mwingine alikuwa hamwamini mtu yeyote.
Sasa tumejifunza na tuendelee kujifunza. Yaliyopita si ndwele tugange yajayo.