Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Ufisadi, rushwa, uzembe, ucheleweshwaji miradi, mfumuko wa bei kila kona lakini Zitto Kabwe yupo kimyaaa! Awamu hii ya 6 X (twitter) ya Zitto Kabwe imepoa kama maji ya mtungi.
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dar es Salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonesha anamkubali linapokuja suala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lissu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe Rais wao wa awamu ya 7.
Alichokifanya Tundu Lissu katika mazungumzo ya ufisadi wa bandari ya Dar es Salaam kuhusu JPM ni dhahiri kwanza hamchukii JPM pili ni mzalendo wa kweli, kitendo cha Lissu kusema Hayati Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo ya nchi yetu imeonesha anamkubali linapokuja suala la uzalendo usiotia shaka katika kulinda rasilimali za nchi.
Tundu Lissu amebakiza kwenda Chato kulia kwenye kaburi la Magufuli na watanzania watamwamini na kumfanya awe Rais wao wa awamu ya 7.