johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas samesema Shujaa Hayati Magufuli hausiki Kwenye Mikataba ya ovyo kwa sababu alikuwa hapendi kabisa rasilimali za Nchi zishikwe na Wageni
Tundu Lissu anaongea na Waandishi wa Habari
Mungu ni Mwema wakati wote!
Tundu Lissu anaongea na Waandishi wa Habari
Mungu ni Mwema wakati wote!