GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,681
- 109,092
1. Je, ukiwa na Akaunti ya Benki fulani ila hukuitumia kwa miaka kati ya 5 hadi 10 ukitaka Kuendelea nayo inawezekana (japo najua itakuwa Imeshafungwa) Kuihuisha au Kuiamsha (Activate) au uachane na haya yote na Ufungue tu Akaunti mpya?
Tafadhali Wataalamu / Wabobezi wa Benki GENTAMYCINE naomba Msaada wenu wa Kiufafanuzi wa haraka na Nitawashukuruni.
2. Je, ukiwa na Akaunti kutoka Benki zetu za hapa Tanzania (Local kama NBC na CRDB) unaweza kuzitumia kwa Kuingiziwa Pesa zako (Mshahara) ukiwa unafanya Kazi nje ya Tanzania na ukazitoa ukiwa huko huko?
3. Naomba kujua Nchi (hasa za hapa Afrika Mashariki) ambazo Benki hizi Mbili za NBC na CRDB zina Matawi yake huko na unaweza bado ukaendelea Kuzitumia hata ukiwa huko huko Kimajukumu.
Natanguliza Shukran kwa Ufafanuzi.
Tafadhali Wataalamu / Wabobezi wa Benki GENTAMYCINE naomba Msaada wenu wa Kiufafanuzi wa haraka na Nitawashukuruni.
2. Je, ukiwa na Akaunti kutoka Benki zetu za hapa Tanzania (Local kama NBC na CRDB) unaweza kuzitumia kwa Kuingiziwa Pesa zako (Mshahara) ukiwa unafanya Kazi nje ya Tanzania na ukazitoa ukiwa huko huko?
3. Naomba kujua Nchi (hasa za hapa Afrika Mashariki) ambazo Benki hizi Mbili za NBC na CRDB zina Matawi yake huko na unaweza bado ukaendelea Kuzitumia hata ukiwa huko huko Kimajukumu.
Natanguliza Shukran kwa Ufafanuzi.