johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,106
Makamu Mwenyekiti wa Chadema ambaye pia Wakili Maarufu nchini mh Tundu Antipas Lissu amesema Ukiona Mkataba unapelekwa bungeni ukaridhiwe Ujue Mkataba huo una Athari kwa Sheria za nchi hivyo inaenda ama kutungiwa sheria au wenyewe kufanywa Kuwa sheria
Lissu amesema mikataba ya kibiashara kama ile ya Shujaa ya SGR au Bwawa la Nyerere huwa haiendi Bungeni.
Kumbe Zitto Kabwe alitaka kutulisha matango pori.
Mlale Unono!
Lissu amesema mikataba ya kibiashara kama ile ya Shujaa ya SGR au Bwawa la Nyerere huwa haiendi Bungeni.
Kumbe Zitto Kabwe alitaka kutulisha matango pori.
Mlale Unono!