Kama bahati tu, CCM asili inafufuka

Kama bahati tu, CCM asili inafufuka

Huyu bashiru simpendi Kama nn sijui...kila nikimuona nahisi na yy afungashe virago..
Bashiru ana hard copy ya ni akina nani na sehemu waliopo wote waliokuwa wamejimilikisha mali za Chama ikiwemo channel ten kiasi cha fedha walichokukuwa wamevuna, wapambe wao nk...
Ukimgusa tu jiandae kukutana na PCCB inayoongozwa na mjeda!
Kinana, Nape, Makambas (junior na senior) Lowassa, nk wapo wanapasha ila itawachukua muda Sana kuipita ESET Internet Security ya Polepole, Mangula, nk
 
2022 uchaguzi ndani ya chama.

NI BALAA, ila tuta watuliza,

CYPRIAN MUSIBA KUWA MWENEZI KITAIFA
 
Waliotembelea kwa magoti ikulu wamepumua ? Hawana hamu malipo hapahapa duniani Ni magoli yao ya mkono .
 
Kama kuna msiba uliojaa unafiki, majungu na fitina ni huu. Mbele ya vyombo vya habari ni nyuso zilizogubikwa na majonzi na uchungu lakini nyuma ya pazia ni shangwe , vigelegele na kujipanga. Ni mtifuato na kujipanga upya.

CCM asilia (wenye chama chao) haooo... CCM makinikia kijasho chembamba kinawatoka. Ni mtifuano wa kugombea nafasi.. CCM asilia imedhamiria kurudi mazima , CCM makinikia inahaha kubaki kwenye power.

Mama Samia anaapishwa muda huu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano 2021-2025. Wiki chache zijazo tutashuhudia mengi sana ndani ya CCM. Tutakuwa na mengi mno ya kushirikishana. Stay tuned.

Kwasasa ni shangwe tupu kwa CCM asili na wanatamani msiba uishe haraka.. Wanatamani hata mazishi yafanyike kesho.

Je, CCM makinikia ina ubavu wa kupambana na CCM asili? Tuombeane heri. Mtifuano wa ndugu wawili wasiopendana unakuja.
Samia akiwalea hao asilia lao ni kujilimbikizia Mali.

Kama kiongozi achukua muelekeo sahihi
 
Kama kuna msiba uliojaa unafiki, majungu na fitina ni huu. Mbele ya vyombo vya habari ni nyuso zilizogubikwa na majonzi na uchungu lakini nyuma ya pazia ni shangwe , vigelegele na kujipanga. Ni mtifuato na kujipanga upya.

CCM asilia (wenye chama chao) haooo... CCM makinikia kijasho chembamba kinawatoka. Ni mtifuano wa kugombea nafasi.. CCM asilia imedhamiria kurudi mazima , CCM makinikia inahaha kubaki kwenye power.

Mama Samia anaapishwa muda huu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano 2021-2025. Wiki chache zijazo tutashuhudia mengi sana ndani ya CCM. Tutakuwa na mengi mno ya kushirikishana. Stay tuned.

Kwasasa ni shangwe tupu kwa CCM asili na wanatamani msiba uishe haraka.. Wanatamani hata mazishi yafanyike kesho.

Je, CCM makinikia ina ubavu wa kupambana na CCM asili? Tuombeane heri. Mtifuano wa ndugu wawili wasiopendana unakuja.
Vipi Saccos ya Chadema inaendeleaje? Imeshindwa hata kutoa uamuzi wa wale wabunge wenu wa Covid-19!!
 
Mshana Jr . kwanini unapenda ramli chonganishi hasa kwa nchi na ccm..?
Weka hakiba ya maneno CHIEF WINGIA kuna vitu havihitaji ramli...tena kuna ccm sijaitaja hapa..ccm maslahi
IMG-20210320-WA0035.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom