Kama bahati tu, CCM asili inafufuka

Kama bahati tu, CCM asili inafufuka

Hakuna cha ccm mafisadi kupenyeza hapa! Tunaye Mangula hataruhusu! Na uenyekiti wamikabidhi haraka Samia! Afu kile kubabu cha Tanga kile wasikiendekeze! Samia wala asiwe anapokea simu zake za kinafki kama anajipenda!
Hii ccm mpya imeshasukwa na hayo makapi hayana nafasi!
Afu kile kubabu cha Tanga kile wasikiendekeze! Samia wala asiwe anapokea simu zake za kinafki kama anajipenda! ni kipi icho kibabu cha Tanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20210320-193404.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kuna msiba uliojaa unafiki, majungu na fitina ni huu. Mbele ya vyombo vya habari ni nyuso zilizogubikwa na majonzi na uchungu lakini nyuma ya pazia ni shangwe, vigelegele na kujipanga. Ni mtifuato na kujipanga upya.

CCM asilia (wenye chama chao) haooo... CCM makinikia kijasho chembamba kinawatoka. Ni mtifuano wa kugombea nafasi.. CCM asilia imedhamiria kurudi mazima, CCM makinikia inahaha kubaki kwenye power.

Mama Samia anaapishwa muda huu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano 2021-2025. Wiki chache zijazo tutashuhudia mengi sana ndani ya CCM. Tutakuwa na mengi mno ya kushirikishana. Stay tuned.

Kwasasa ni shangwe tupu kwa CCM asili na wanatamani msiba uishe haraka.. Wanatamani hata mazishi yafanyike kesho.

Je, CCM makinikia ina ubavu wa kupambana na CCM asili? Tuombeane heri. Mtifuano wa ndugu wawili wasiopendana unakuja.

Muda ni Mwalimu mzuri. Hata yanayokuja yanabeba yale yale yaliyopita. Muda unabadilika haraka. Madaraka yamewakimbia wengi waliofikiri ni mali yao.
Mshana, Tanzania ni zaidi ya uijuavyo
 
Muda ni Mwalimu mzuri. Hata yanayokuja yanabeba yale yale yaliyopita. Muda unabadilika haraka. Madaraka yamewakimbia wengi waliofikiri ni mali yao.
Mshana, Tanzania ni zaidi ya uijuavyo
Muda ni Mwalimu mzuri. Hata yanayokuja yanabeba yale yale yaliyopita. Muda unabadilika haraka. Madaraka yamewakimbia wengi waliofikiri ni mali yao.
 
CCM ya aliyoacha Magufuli ina nguvu sana. Spika ana nguvu sana labda wa muondoe na Spika
Spika hana nguvu kama yupo kinyume na raisi. Raisi ndo kila kitu unless jeshi halimtii, ukitishia kupiga kura ya kutokuwa na imani na raisi bunge linavunjwa uchaguzi unaitishwa. Na hapo ni hatari sana kwa wabunge hawawezi kubali hilo. Halafu spika ni kipenzi cha wabunge kuliko raisi? Akitoa oda watatii? Watamfata?
 
Naomba nikujibu ccm makinikia... Ni ile ccm ya marehemu, watu wasio na background ya chama
Halafu kuna ccm maslahi hawa wako kotekote kama sime

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapozungumzia CCM asili ni hipi? Ambayo unaiona inaweza kulitii azimio la Arusha lililofytika? Embu nitajia majina ya watu wa5 tu wa CCM asilia angalau nitapata picha ao watu ni wakina nani na wana tabia zipi?
 
Hakuna cha ccm mafisadi kupenyeza hapa! Tunaye Mangula hataruhusu! Na uenyekiti wamikabidhi haraka Samia! Afu kile kubabu cha Tanga kile wasikiendekeze! Samia wala asiwe anapokea simu zake za kinafki kama anajipenda!
Hii ccm mpya imeshasukwa na hayo makapi hayana nafasi!
Jakaya;- bashiru anafanya nini humu ndani?

Mangula;- ooh ni katibu bado hajakabidhi sijui nini

Jakaya;- ahaa, atoke bwana hawezi kuwa sehemu mbili huyu ni sehemu ya serikali atoke nje.
Chukua vitu vyako toka bwana!

Bashiru 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️😆😆
 
Hakuna cha ccm mafisadi kupenyeza hapa! Tunaye Mangula hataruhusu! Na uenyekiti wamikabidhi haraka Samia! Afu kile kubabu cha Tanga kile wasikiendekeze! Samia wala asiwe anapokea simu zake za kinafki kama anajipenda!
Hii ccm mpya imeshasukwa na hayo makapi hayana nafasi!
CCM ya wasukuma au sio 😂😂😂😂

60% ya mawaziri Wasukuma
 
Kama kuna msiba uliojaa unafiki, majungu na fitina ni huu. Mbele ya vyombo vya habari ni nyuso zilizogubikwa na majonzi na uchungu lakini nyuma ya pazia ni shangwe, vigelegele na kujipanga. Ni mtifuato na kujipanga upya.

CCM asilia (wenye chama chao) haooo... CCM makinikia kijasho chembamba kinawatoka. Ni mtifuano wa kugombea nafasi.. CCM asilia imedhamiria kurudi mazima, CCM makinikia inahaha kubaki kwenye power.

Mama Samia anaapishwa muda huu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano 2021-2025. Wiki chache zijazo tutashuhudia mengi sana ndani ya CCM. Tutakuwa na mengi mno ya kushirikishana. Stay tuned.

Kwasasa ni shangwe tupu kwa CCM asili na wanatamani msiba uishe haraka.. Wanatamani hata mazishi yafanyike kesho.

Je, CCM makinikia ina ubavu wa kupambana na CCM asili? Tuombeane heri. Mtifuano wa ndugu wawili wasiopendana unakuja.
Na kama kuna wanafiki wa kifo ni CHADEMA na wapinzani wengine. Wanakesha kupiga propaganda ili system ya JPM iondoke na CCM ya zamani irudi.

Sababu wanajua wazi CCM ya JPM wapinzani uchwara kama tulionao walivyogaragazwa!

Wanaombea CCM ya ubabaishaji irudi ili angalau ubabaishaji wao nao upate nafasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom