Kama bahati tu, CCM asili inafufuka

Kama bahati tu, CCM asili inafufuka

Ukweli ni kwamba kuna watu wanaenda kupotea kwenye Ulingo wa Siasa baada ya uchaguzi 2025, Bora ndg yangu Bashite yeye keshazoea hali yake kwa sasa kuwa mbali na siasa hata mambo yote yahusianayo na serikali/utumishi wa Umma!

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kwamba kuna watu wanaenda kupotea kwenye Ulingo wa Siasa baada ya uchaguzi 2025, Bora ndg yangu Bashite yeye keshazoea hali yake kwa sasa kuwa mbali na siasa hata mambo yote yahusianayo na serikali/utumishi wa Umma!

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Bashite ni nabii , kakaa mbali mapema kabisaaaa......!!!
 
Hii ni hatari mpya inayoinyemelea Tanzania hata baba yake alisuuzika moyo jana. Kweli ufisadi unarudi ila wakumbuke nchi itawaka moto.
Moto gani? Ufisadi gani? Msije mkaleta mambo ya machafuko hapa. Tunataka amani.
 
Kama kuna msiba uliojaa unafiki, majungu na fitina ni huu. Mbele ya vyombo vya habari ni nyuso zilizogubikwa na majonzi na uchungu lakini nyuma ya pazia ni shangwe, vigelegele na kujipanga. Ni mtifuato na kujipanga upya.

CCM asilia (wenye chama chao) haooo... CCM makinikia kijasho chembamba kinawatoka. Ni mtifuano wa kugombea nafasi.. CCM asilia imedhamiria kurudi mazima, CCM makinikia inahaha kubaki kwenye power.

Mama Samia anaapishwa muda huu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano 2021-2025. Wiki chache zijazo tutashuhudia mengi sana ndani ya CCM. Tutakuwa na mengi mno ya kushirikishana. Stay tuned.

Kwasasa ni shangwe tupu kwa CCM asili na wanatamani msiba uishe haraka.. Wanatamani hata mazishi yafanyike kesho.

Je, CCM makinikia ina ubavu wa kupambana na CCM asili? Tuombeane heri. Mtifuano wa ndugu wawili wasiopendana unakuja.
Naomba ufafanuzi Mshana Jr hiyo CCM asili ndiyo hipi? Yakina January? Nape? Mzee Kikwete?
 
Sisi tunachotaka ni maisha garama zishuke pesa ionekane
Hiki ndicho tunachokihitaji. Uchumi wa kati mifukoni kwa kila mtanzania, maisha yanayotupa ajira, vipato, biashara.
Wadogo zetu HESLB isiwe kandamizi, uhuru wa kutoa maoni,
Watu tupo tuliokuwa demoralized, terrorized, na tulikuwa tunazidi kuwa maskini! Sekta binafsi ilikuwa inaendelea kufa taratibu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Ni moto kweli, kila mmoja ameshaonja utamu wa madaraka.Ni afya kwa demokrasia nchini.
CCM ASILI vs ccm makinikia!! Hakika hii itakuwa ni Vita ya Tatu ya Dunia! Ngoja tuone itakavyokua. Hitimisho lake ni 2025!

Natarajia kuona kipindi hicho wana CCM wakigawana fito baada ya hiki chama chao kikongwe kujifia kifo cha mende! Asante sana Mh. Rais Magufuli kwa kufanikisha hii ndoto yangu ya kuiona CCM ikifa, ikielekea kutimia.
 
Kama kuna msiba uliojaa unafiki, majungu na fitina ni huu. Mbele ya vyombo vya habari ni nyuso zilizogubikwa na majonzi na uchungu lakini nyuma ya pazia ni shangwe, vigelegele na kujipanga. Ni mtifuato na kujipanga upya.

CCM asilia (wenye chama chao) haooo... CCM makinikia kijasho chembamba kinawatoka. Ni mtifuano wa kugombea nafasi.. CCM asilia imedhamiria kurudi mazima, CCM makinikia inahaha kubaki kwenye power.

Mama Samia anaapishwa muda huu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano 2021-2025. Wiki chache zijazo tutashuhudia mengi sana ndani ya CCM. Tutakuwa na mengi mno ya kushirikishana. Stay tuned.

Kwasasa ni shangwe tupu kwa CCM asili na wanatamani msiba uishe haraka.. Wanatamani hata mazishi yafanyike kesho.

Je, CCM makinikia ina ubavu wa kupambana na CCM asili? Tuombeane heri. Mtifuano wa ndugu wawili wasiopendana unakuja.
Hakuna cha ccm mafisadi kupenyeza hapa! Tunaye Mangula hataruhusu! Na uenyekiti wamikabidhi haraka Samia! Afu kile kubabu cha Tanga kile wasikiendekeze! Samia wala asiwe anapokea simu zake za kinafki kama anajipenda!
Hii ccm mpya imeshasukwa na hayo makapi hayana nafasi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom