Kama 70% ya Umeme Wa Tanesco ni wa Gesi, Mbona Maji yanasingiziwa sana?

“Kwa wastani umeme unaozalishwa kwa kutumia gesi asilia ni takribani asilimia 65 mpaka 70 ya umeme wote unaozalishwa nchini. Wataalam wanatuambia kwamba kama tusingekuwa na gesi asilia, tatizo la umeme nchini lingekuwa kubwa zaidi. Kwahiyo, tushukuru sana Mungu kutuletea rasilimali hii ya gesi asilia.” – Rais Samia Suluhu.

View attachment 2893074
Upuuzi
 
Huyu sidhan km anajua asemalo
Huo muda wa kujua anao sasa?

Unadhani hata hiyo 65% asilimia anaijua? Hana analoweza hata kuuliza kwakuwa atakaokuwa anawauliza, wamemzidi kila kitu hivyo hana jinsi ila kupokea kama anavyoambiwa!

Anateua na kutengua kabla hajaapisha! Anazungumzia Kenya kukimbilia Burj Khalifa 2023 ilhali walikuwa huko miaka kadhaa nyuma.

Sasa unategemea huyo mtu aseme nini cha kueleweka?
 
Back
Top Bottom