Awa jamaa mie nadha nia na madhumuni ki kumchafua Rais Samia Suluhu na Doto Biteko. Haiwezekani Taasisi inasemwa kila sehemu kuanzia Bungeni, mitaani, kwenye mitandao, nyumba za ibada lakini jamaa hawajigusi wanaendelea na mgao kama kawa.
Na mie nasema wanafanya makusudi kwa kuwa atakuja mjinga apa ataanza kuwatetea.
Huwezi kuwatetea watu ambao hawana sababu moja ya tatizo kila kukicha wanakuja na sababu mpya.
Mara ukosefu wa maji, mara Hitilafu, mara umeme unaozalishwa hauwendani na maitaji, mara maji hayaendi kwenye mabwawa ya umeme, mara upungufu wa gesi na maji, mara uwizi wa transformer mara mitambo chakavu.
Waongo waongo!! si elewi kwanini Rais halioni ili.
Na mie nasema wanafanya makusudi kwa kuwa atakuja mjinga apa ataanza kuwatetea.
Huwezi kuwatetea watu ambao hawana sababu moja ya tatizo kila kukicha wanakuja na sababu mpya.
Mara ukosefu wa maji, mara Hitilafu, mara umeme unaozalishwa hauwendani na maitaji, mara maji hayaendi kwenye mabwawa ya umeme, mara upungufu wa gesi na maji, mara uwizi wa transformer mara mitambo chakavu.
Waongo waongo!! si elewi kwanini Rais halioni ili.