Kalynda Wasishtakiwe, hii ndio maana halisi ya usimuonee Huruma masikini na mjinga

binafsi huko whatxup wanakujaga wengi sana kutoa ushauri yaan kukushawishi ujiunge na hizo investment lkn huwa nawakata kauli "PESA HUMFATA MWENYE PESA NA MAWAZO YA MBALI " hivyo ili upte ni lazm utoe kwa akili ili uvune kingine kikubwa na ukiangalia sisi watanzania (wengi wetu)tuna elimu mpk degree lkn hakun watu wanaongoza kuliwa na hizi investment kam wanachuo hela za mikopo mtu ana invest investment bongo hapa acha wajinga wawalishe matajili na hii ni KANUNI YA KIMUNGU (mungu haweki kitu kwenye kapu lililotupu )NEVER
 
Wametembea kitambo,Bongo akili watu wengi hatuzitumii ipasavyo mtu ukijaribu kumwelewesha anaona unamletea Giza ..blooodf**ken
Screenshot_20221011-115037.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom