Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 665
- 902
Habari za kwenu ndugu zangu! Niende kwenye mada moja kwa moja.
Siku za hivi karibuni nimenunua kausafiri ambako kananisaidia kwenye stunting zangu za hapa na pale hapa mjini. Lakini nimenunua huu usafiri baada ya kununua nimekuwa nikipata udhoefu tofauti tofauti ikiwemo kumwazimisha mtu ambapo baada ya kumwazimisha roho yangu inaanza kujutia kwanini nimemuazima na wakati anapokua anaomba naku nataka kukataa ila roho ya kukataa inashindwa na roho ya kumwazimisha. Ila baadae najutia kwanini nakua mrahisi hivi kumwazimisha mtu wakati sina imani naye.
Na hii hali imekua ikinisumbua sana na najiona kama mjinga na hapo unakuta unamuazimisha mtu akirudi hajaweka mafuta anakurudishia funguo ila akili hii haija aacha kubarimdlika nataka niwe nawanyima sijui inatokeaje daah!
Najua hii kitu mnaweza mkaniona kama natania ila deep down najiona fala kabisa. Na kuna wakati najua huyu mtu nimnyime tu maana hawekagi mafuta ila akiniomba muda mrefu nampa roho ya kukataa haipo.
Hii imekaaje au ndio roho wa umasikini ananiandama? Hapa kuna jamaa nimemuazima ameondoka tu nimeanza kujilaumu sasa hata sijui nikoje. Hii imekaaje aseee kudadeki, najichukia kijinga sasa hivi.
Siku za hivi karibuni nimenunua kausafiri ambako kananisaidia kwenye stunting zangu za hapa na pale hapa mjini. Lakini nimenunua huu usafiri baada ya kununua nimekuwa nikipata udhoefu tofauti tofauti ikiwemo kumwazimisha mtu ambapo baada ya kumwazimisha roho yangu inaanza kujutia kwanini nimemuazima na wakati anapokua anaomba naku nataka kukataa ila roho ya kukataa inashindwa na roho ya kumwazimisha. Ila baadae najutia kwanini nakua mrahisi hivi kumwazimisha mtu wakati sina imani naye.
Na hii hali imekua ikinisumbua sana na najiona kama mjinga na hapo unakuta unamuazimisha mtu akirudi hajaweka mafuta anakurudishia funguo ila akili hii haija aacha kubarimdlika nataka niwe nawanyima sijui inatokeaje daah!
Najua hii kitu mnaweza mkaniona kama natania ila deep down najiona fala kabisa. Na kuna wakati najua huyu mtu nimnyime tu maana hawekagi mafuta ila akiniomba muda mrefu nampa roho ya kukataa haipo.
Hii imekaaje au ndio roho wa umasikini ananiandama? Hapa kuna jamaa nimemuazima ameondoka tu nimeanza kujilaumu sasa hata sijui nikoje. Hii imekaaje aseee kudadeki, najichukia kijinga sasa hivi.