Freddy81
Member
- Feb 3, 2009
- 99
- 3
SIO NA SISEMI AMINA.....!
kuorodhesha mali ni utapeli...? Mbona serikali inahitaji watumishi wake waorodheshe mali zao? je na huo ni utapeli au UTAWALA BORA...?
QUOTE]
Aaah baba mahesabu, usijaribu kufananisha hata kidogo serikali na mambo ya kanisa. Kwanza ni vitu ambavyo haviendani kabisa. Kanisa ni masuala ya kiimani zaidi na serikali ni mambo ya siasa. Hata Yesu walimtega namna hiyo lakini aliwastukia mapema akawaauliza picha iliyopo kwenye sarafu ni ya nani? wakamwambia ni ya Kaisari..." Akawaambia ya kaisari mpeni kaisari na ya Mungu mpeni Mungu"
Sasa kakobe yeye mali za watu zinamuhusu nini? Kwani nini Lengo la kanisa lake? kuhubiri injili ili watu wamjue Mungu au kujua mali walizonazo watu.
Lakini pia hata kama waumini wake watajaza hizo fomu wanaweza pia kumdanganya.
MI nadhani anawapima waumini wake ni jinsi gani wanavyomuamini yeye na sio kumwamini yesu Kristo.
Last edited: