Ila hata mimi nadoubt juu ya Askofu Kakobe,kwa nini haruhusu mtu mwingine yeyote kusumama madhebaun kwenye lile kanisa lake?coz utakuka akisafiri waumini wanahubiriwa na recorded kwenye tv?
Huyo kakobe kajipa uaskofu, mie namuona ni kama nabii wa uongo tu, haya ndo haya makanisa yalianzia uko USA na kuzagaa Afrika, na hUko TZ sasa kuwa na kanisa kushakuwa deal lakuwaibia watu na kujisafisha kwa kujiita mchungaji.
Kakobe ni design ya Kibwetere katika enzi hizi.Ni vigumu kakobe kuuona ufalme wa Mungu..ametumia imani za watu kujitajirisha isivyo kawaida...na kupta utajiri ambao utampa kisago siku ile ikifika.Mfano wa ngamia na tundu la sindano ndiyo huu.mfano mwimgine ni ule ambao bwana altamka kuwa kuwa watu watakaokuja kwa jina langu .............na watadanganya wengi.ole wao!
Nipe mstari wa biblia unaoelekeza namna askofu anavyopatikana....Huyo kakobe kajipa uaskofu, mie namuona ni kama nabii wa uongo tu, haya ndo haya makanisa yalianzia uko USA na kuzagaa Afrika, na hUko TZ sasa kuwa na kanisa kushakuwa deal lakuwaibia watu na kujisafisha kwa kujiita mchungaji.
sijui kwakweli,ila kakobe gets a lot of bad press.wanaojua ukweli watuambie. halafu mbona tukipita pale wanawake na watoto wamevaa viremba na suti za kijani ndefu mpaka chini.suspicious
mmmmmhhhh una hakika. haya. sitobishana kwani sifahamukutokana na walivyohubiriwa mwanamke hatakiwi kuvaanguo za kuonyesha maungo yake wala mitindo ya dunia maana watakuwa wanamtukuza shetani ndo maana wanavaa suti, halafu wale ni wasimammizi wa kanisa au watenda kazi.
Halafu ukisoma kitabu cha Timotheo sikumbuki mstari nikikumbuka nitauleta wanawake wametakiwa wafunike vichwa vyao wakati wa kuabudu na wameambiwa wasisuke nywele. ndo maana huko kwa kakobe unaona hivyo.
hayo mengine ushajibiwa mkuusijui kwakweli,ila kakobe gets a lot of bad press.wanaojua ukweli watuambie. halafu mbona tukipita pale wanawake na watoto wamevaa viremba na suti za kijani ndefu mpaka chini.suspicious
Msitumie Bible kufanya mambo Mungu anayashangaa...SIO NA SISEMI AMINA.....!
BISHOP KAKOBE anabaki mtumishi wa MUNGU aliye juu.....! anaweza kuwa na mtazamo tofauti juu ya jambo fulani lakini bado anabaki GOD'S SERVANT.....!
kuorodhesha mali ni utapeli...? Mbona serikali inahitaji watumishi wake waorodheshe mali zao? je na huo ni utapeli au UTAWALA BORA...?
Anachofanya mtumishi wa MUNGU aliye hai ni KUWAEPUSHA WAUMINI NA DHAMBI YA ANANIA NA SA****....! au mimi ndo nasoma BIBLIA TOFAUTI NA YA WENGINE....?
WATU HAWA KATIKA BIBLIA WALIFICHA TAARIFA MUHIMU NA WOTE MAUTI ILIWAKUTA.....!
HALAFU BIBLIA KATIKA WARAKA WA YAKOBO INATUELEZA TUSIWE WEPESI WA KUNENA BALI TUWE WEPESI WA KUSIKIA.....!
TUANGALIE TUSIJEINGIA UPOTEVUNI KWA KUWA WASEMAJI.....!
SASA NASEMA BWANA YESU APEWE SIFAAAA.!