Kaka yangu anatembea na mama mkwe wangu

Kaka yangu anatembea na mama mkwe wangu

Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
waache waendelee na utamu wao.
 
Xaxa hpo mbona hapana xhaka? Au kwkuwa huyo jamaa n blaza wako? Asingekuwa? Ungechukulia poa e!?
 
Wakwetu........umeona post ni ya lini.........?
Haina SHOBO hata km Post ya zamani lakini watu kila siku wanagegedana hawajali ni Mama Mkwe mradi pana unyevunyevu. Huyu Mama Mkwe huenda ni miaka hana mtu wa kumsulubu, na kwa vile kafumaniwa kwenye Penati Box acheni mpira uokote kwenye nyavu. Hii inarudisha Ujana na kuponya magonjwa mengi km Pressere, kipanda nye*e, chumvi, kulemaa mgongo
 
wao kujivinjari sio tatizo kama wote wapo single, tatizo ni scene waliyoichagua, mimi nitawatimua kwangu wakapendane huko mbali. Ni kweli hapo kwangu ndipo walipopata opportunity na haijalishi nani aliyemuanza mwenzie lakini walipaswa kuniheshimu kwa kuhamishia scene kwingineko.
 
vunga hujaona, watu wazima hao kama hawajaona aibu na kua wanachofanya sio right kuna probability kubwa wanatumia Marijuana iliyofanyiwa filtering na kuchukua pigments zile zinazochanganya akili zikiwa in pure form na wakazivuta kwa 100% bila kubakiza hata chembe moja tena wakati kuna kiubaridi afu wakashushia na gongo la m.....i lile lenye alcohol 99%
 
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.

Wacha wale bata kwan kuna ubaya joo??
 
chukua taadhari kwa mkeo kustaafu kazi si kustaafu kumega tunda...........
 
kesi Hipo,
kwa sababu huyo Kakake sasa atakuwa ni Babamkwe wake, na Watoto wa Kakake sasa watakuwa mashemeji zake, Na Mkewe anamwita huyo kaka ya Mmewe kuwa ni Babayake na watoto wa wa huyo shemeji yake watakuwa wadogo zake
Kaaaaaazi kwelikweli

Sasa watoto wa kakaake watashangaa kwanini ba mdogo kamuoa dada yao ambaye ni sawa na mpwa wake? Na mtoto wa jamaa mleta mada ni binamu yao lakini pia ni watoto wa dada yao hivyo ni mpwa wao?
Mwishowe hii familia itaona kuoana wao kwa wao ni sawa!
 
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.

Tupe mrejesho mwaka wa 3 huu
 
Every woman need a man lakini sio kihivi Jamani! loo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom