Kaka yangu anatembea na mama mkwe wangu

Kaka yangu anatembea na mama mkwe wangu

Sasa kwani ya shemeji yako na ya hao watu wengine inatofauti gani?

m
ushemeji ni undugu huo tayari ushakuwa established...
na undugu ni MIPAKA, hautembei na mtu kama ni nduguyo..
yeyote asiyesheshimu mipaka muogope!...
btw...kama umeshindwa kuona tofauti ya shemeji na watu wengine...
next time utashindwa kutofautisha ya mume wangu na watu wengine...
hicho kigezo kinatosha kukutoa kny himaya yangu!:redfaces:
 
Hao ni watu wazima na akili zao na wanajua wanachofanya hivyo haina haja ya kuwaonea aibu wala kuwaona wa ajabu,ni mambo ya kawaida sana kutokea katika jamii hasa watu wanapokutana na kujikuta wana hisia zinazofanana mwishowe hujikuta wanafanya mambo kulingana na hisia zinakowapeleka.
Cha msingi ni kuijenga nyumba yako iwe na heshima zaidi na mambo yao wayafanye kwa kujua kuwa wewe ni mkwe na wakati huo huo ni kaka hivyo kuna walakini katika kuhalalisha jambo lao kuwa hali halisi.
Tafuta nafasi uzungumze na kaka yako kwa undanimaana inaweza kuja kutokea nyumba yako ikawa na mfarakano mkubwa baada ya mkeo kujua kinachoendelea na kutopendezwa na hali hiyo,jua kuwa kwa mkeo itakuwa ni dharau kubwa sana kwa mama na mtoto kutembea na ndugu moja.
 
mbona kawaida sana..... bro wako ameoa?.......

unafikiri mama mkwe wako yuko hapo then usiku pengine anakusikilizia ukiwa unaammega mwanae

na yeye kama binadamu wa kawaida anapandwa na midadi..... so bro kaja so wanabadilishana mawazo na kuliwazana..



halafu kwa nini ulirudi nyumbani saa tano asubuhi?.. we vipi?..
usione aibu kaka mwachi kaka ale raha za dunian
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Hahahaahaha braza kamlia timing alafu inaonyesha ni kijana kijana huyo mama mkwe bado mbichi


ha ha ha ah aha ukiifikiria nje ya boksi unapata maswali mengi sana.. we kiranja saa tano ulikua unarudi nyumbani kufanyaje kama na wewe sio ulikua unavizia?:thinking:
 
ha ha ha ah aha ukiifikiria nje ya boksi unapata maswali mengi sana.. we kiranja saa tano ulikua unarudi nyumbani kufanyaje kama na wewe sio ulikua unavizia?:thinking:

Hahahahaha Kiranja nae alitaka aimbishe sasa kakuta bro kamlia timing akubali yaishe ameshindwa amwachie bro aendelee kufaidi
 
Kiranja hujatuambia bro ana mke?

Kama kweli anamke kafanya kitu kibaya cha kufanya
watafutie nauli waondoke sasa ndo kipindi cha kulima huku kijijini
 
Mhhhh.....! Basi na ujue kuwa na mke wako anayo katabia kama hiyo, kama bado itakuja tu....!

He jamani mbona mnakuza mambo hivyo? mimi sioni ajabu hapo hasa kama na bro naye hana mke. Tuwaombe tu wahalalishe au haiwezekani?
 
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
Kwani Baba Mkwe wako yuko wapi?
Alifariki siku nyingi nyuma
Case closed!!!!

Kwakweli Mh Safari, ha ha ha!
 
Sijui braza unaumuri gani lkn hili ni jambo kubwa na unabidi kuangalia utakavyo li-handle vinginevyo laweza kuleta athali hata ktk ndoa yako.
Mimi nakushauri kwanza usamehe na kujua wao kama wao kwanza ni wakubwa ni wazazi lkn kubwa ni binadamu! So heshima yako kwao inabidi kuilinda...kama wewe ni mkristo utakumbuka kwenye bible kuna mtu aliona uchi wa baba yake akiwa amelewa akacheka na kutangaza kwa wengine, yaliyompata yalikuwa mabaya...!! Kwa sababu ni binadamu then mbaya ni shetani aliyewadanganya na kama unatabia ya kuwanunulia bia basi na wewe umechangia. Limetokea basi achana nalo kama kunauwezekano mrudishe mama nyumbani na bro pia na husiliusishe na mkeo. Wanaosema mtt wa nyoka ni nyoka husiwasikilize after all nani msafi ktk eneo la sex kati yetu!!!
 
tabia mbaya hiyo...huyo kakako anaweza kumtafuna hata mkeo...watchout
 
Hapo Mkuu jiandae kumhudumia kaka na na wategemezi wake (kama wapo) maana akishapata tu hiyo pensheni yake itaishia kwenye vibanda-hasara. Pole. Vunja ukimya!
 
Mh,mbona hii shughuli pevu!!!!!!!! Huyo kakako si mtu wa kujiheshimu,huwezi jua atafuatia nani baad aya mama mkwe,mkeo,housegirl au mtotot wako? Jihadhari! Si vibaya kumwambia hukufurahia kitendo chake,ukijifanya wewe mi mdogo kwake,basi ata take advantage hiyo na kuivuruga nyumba yako!
 
Duh!! Hii kali ya mwaka. Mkweo ameshindwa kujiheshimia jamani.Binti yake anasemaje au hujalifikisha kwa mama watoto. Na iweje uishi na kaka yako mkubwa hakuwa na maisha yake tangu mwanzo na mkewe yupo wapi??? Huu ni uchafuzi wa mazingira kwa kweli. Ushauri kwako hamisha wote kila mtu arudi kwao kama wanataka kufanya huo uhaini wao wakafanyie nje ya nyumbani kwako wanenu wasione uchafu huu. Aibu yao wote wawili. Mijitu mingine sijui imeumbwaje haina hata haya. Huyo mama anamshushia heshima sana binti yake (ambaye ni mkeo) fukuzia mbali shwain zao.
 
kesi Hipo,
kwa sababu huyo Kakake sasa atakuwa ni Babamkwe wake, na Watoto wa Kakake sasa watakuwa mashemeji zake, Na Mkewe anamwita huyo kaka ya Mmewe kuwa ni Babayake na watoto wa wa huyo shemeji yake watakuwa wadogo zake
Kaaaaaazi kwelikweli

hapa ndipo shughuli inapoanza majina na vyeo vya familia vinapobadilika ghafla te te te teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom