Kaka yangu anatembea na mama mkwe wangu

Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.

Tuombe Mungu hiyo tabia isije hamia kwa mkeo. That's fornication if not adultery!
 
Duh!!! Watakuwa wameaanza kumegana muda mrefu tokea huyo braza yako anaishi hapo kwako
 
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.

Unajua ukishavunja mwiko hakuna utakaokushinda unaofanana na Huo.

Tahadhari: Huyo bro ni mchafu, na umri wake sio tatizo, hivyo kila abiria achunge mzigo wake
 
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
Mhhhh.....! Basi na ujue kuwa na mke wako anayo katabia kama hiyo, kama bado itakuja tu....!
 
kaka hiyo ni noma! ongeza ulinzi kwa wife
si unajua waswahili husema mtoto wa nyoka ni nyoka
 
ni jambo la aibu!
wote kuoa sehemu moja!
kwa vile umemzoea kaka yako,huyo ndio uongee naye..
mwambie jinsi lilivyo jambo la aibu na mkeo akijua jinsi atakavyoghafilika,...

au ongea na mkeo aongee na mama yake..,
wasiwaibishe kama ni ukame wakatafute wapenzi huko nje!
mijitu mingine sijui ikoje...haina aibu!
 
kweli wakati mwingine jaribu kutumia busara itawale. Kama tunda kamega huna jinsi jifanye hulioni hilo.
 
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.

Kama ulikuwa huna mpango wa kumega huyo ma'mkwe nadhani ongeza heshima kwa kaka yako maana sasa ni Kaka-mkwe
 
Naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.

Imradi wamakubaliana watu wazima waache wapeane raha kaka.

Lakini ulitakiwa ufumbe macho au uondoke kabisa
 
Nakuja kuomba kazi ya uhausi boi hapo kwako, ntaanza kwa kummega huyo mkweo, mkeo na hausi gelo wako kama unaye..
Hiyo nyumba yako inahitaji maombi, vuinginevyo pepo la uzinzi litaisambaratisha na kuivunja kabisa ndoa yako
naishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake.
Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu.
Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
 
....wapige stop mwaya!
...ni kama vile usikie mashoga(gay)..wanataka kufunga ndoa..
...wana haki ya kufanya wafanyayo,ila hili jambo liko wrong in every aspect of it!
 
Unajua ukishavunja mwiko hakuna utakaokushinda unaofanana na Huo.

Tahadhari: Huyo bro ni mchafu, na umri wake sio tatizo, hivyo kila abiria achunge mzigo wake

Unamaana mdogo mtu amfukuze kaka mtu?

Sioni kosa la kaka mtu hapo imradi hakumbaka kama walikubaliana na wakanyonyana ndimi n.k ruksa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom