Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Kumbe unapost hii picha kila mara je hauna vingine vya kupost.Kusoma hujui hata picha huoni? Kona za Mkoa ziko njia ya kwenda Chunya mbona mara nyingi tuna post humu?
Kumbe unapost hii picha kila mara je hauna vingine vya kupost.Kusoma hujui hata picha huoni? Kona za Mkoa ziko njia ya kwenda Chunya mbona mara nyingi tuna post humu?
Tuko 🔥🔥Kumbe unapost hii picha kila mara je hauna vingine vya kupost.
Tuko 🔥🔥
Ndugu yangu Iringa Iko mbali sana Kwa Bukoba we kubali tu...cheki slums kule nyuma...hii ndo inalinganishwa na Bukoba.....
Eti tuna manufacturing za pipi
Mtu ukimuuliza Bukoba kuna shida gan atakwambia stendi na soko......people watu wanajaji mji wa bukoba kwa kuongalia stendi na soko?
Tuendelee kutoa facts...
.View attachment 2569152
Kwani hapa tunazungumzia mkoa Kagera au miji ya Bukoba na Iringa.Kumbe unataka maghorofa
Kwa hiyo mji ni kuwa na maghorofa kama ni hivyo basi vijiji vya muleba na misenyi ni miji maana kuna maghorofa kibao huko migombani
Choiceavailable hebu leta takwimu zako za maghorofa....
Kagera ni mkoa wa kumi kwa idadi ya maghorofa ina maghorofa zaidi ya 700 huku iringa ina maghorofa 500 hao ni NBS sio mimiView attachment 2569164View attachment 2569165
To be built at Isyesye Mbeya View attachment 2571781View attachment 2571782View attachment 2571783View attachment 2571784
Ipo mbali kwenye mambo yapi? Tunaomba ufafanuziNdugu yangu Iringa Iko mbali sana Kwa Bukoba we kubali tu
Kagera ni mkoa na iringa ni mkoa Sasa sjui unalalama Nini bossKwani hapa tunazungumzia mkoa Kagera au miji ya Bukoba na Iringa.
Fafanua tuelewe tupe sifa usiseme Kwa mahaba tuNdugu yangu Iringa Iko mbali sana Kwa Bukoba we kubali tu
Wanabisha eti hapa sio kwao 😁😁
Wanabisha eti hapa sio kwao 😁😁
Mnasema hiv week nzima...tukiawambia mprove na mtoe facts mnaenda mitini...wengine wanasema wana viwanda vya kumanufacture pipi...Ndugu yangu Iringa Iko mbali sana Kwa Bukoba we kubali tu
Tunazidi kuwakalia kooni Kila sekta
Kanda ya kusini yote wamedumaa