Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga



20230328_204937.jpg
20230328_204257.jpg
20230328_204441.jpg
20230328_204225.jpg
20230328_203638.jpg
20230328_202817.jpg
20230328_202617.jpg
20230328_202514.jpg
20230328_185642.jpg
20230328_203242.jpg
 
City of mkwawa leteni picha ya kijiji cha bukoba tuone
...cheki slums kule nyuma...hii ndo inalinganishwa na Bukoba.....

Eti tuna manufacturing za pipi


Mtu ukimuuliza Bukoba kuna shida gan atakwambia stendi na soko......people watu wanajaji mji wa bukoba kwa kuongalia stendi na soko?


Tuendelee kutoa facts...

.
Screenshot_20230328-214852.jpg
 
mji wa barabara moja kama mbeya...


Hebu nitajie mtaa wa manispaa ya Bukoba ambao haufikiwi na barabara ya lami na ukiwepo natoka humu jf forever
Kwamba Mbeya Haina Barabara za mtaani au unataka kusemaje bwashee
 
...cheki slums kule nyuma...hii ndo inalinganishwa na Bukoba.....

Eti tuna manufacturing za pipi


Mtu ukimuuliza Bukoba kuna shida gan atakwambia stendi na soko......people watu wanajaji mji wa bukoba kwa kuongalia stendi na soko?


Tuendelee kutoa facts...

.View attachment 2569152
Hakuna mji hapo me naona mabanda ya kufugia kuku wa kisasa.
 
Back
Top Bottom