ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,223
- 85,106
- Thread starter
- #14,821
Tofauti na hii mna luxury ipi nyingine?Golden dragon View attachment 2569106
Huwa unahamishia akili kwenye unyanyo ndio unapayuka au?Toa ushamba wako hapa, hili jalala haliwezi kufikia Bukoba kwa kina nshomile.
Za Dar Mwanza sio mikoani
City of mkwawa leteni picha ya kijiji cha bukoba tuone

...cheki slums kule nyuma...hii ndo inalinganishwa na Bukoba.....


mji wa barabara moja kama mbeya...
Happy national huijui auZa Dar Mwanza sio mikoani
Naona bukoba huwa unaisoma kwenye riwaya za kusisimua.Huwa unahamishia akili kwenye unyanyo ndio unapayuka au?
Kwamba Mbeya Haina Barabara za mtaani au unataka kusemaje bwasheemji wa barabara moja kama mbeya...
Hebu nitajie mtaa wa manispaa ya Bukoba ambao haufikiwi na barabara ya lami na ukiwepo natoka humu jf forever![]()
Picha ziko wapi? 🤣🤣Naona bukoba huwa unaisoma kwenye riwaya za kusisimua.
Hakuna mji hapo me naona mabanda ya kufugia kuku wa kisasa....cheki slums kule nyuma...hii ndo inalinganishwa na Bukoba.....
Eti tuna manufacturing za pipi
Mtu ukimuuliza Bukoba kuna shida gan atakwambia stendi na soko......people watu wanajaji mji wa bukoba kwa kuongalia stendi na soko?
Tuendelee kutoa facts...
.View attachment 2569152
Wivu 🤪😝🤪Hauna jipya
Ukileta picha ya bukuba CBD ctabishana na wew...cheki slums kule nyuma...hii ndo inalinganishwa na Bukoba.....
Eti tuna manufacturing za pipi
Mtu ukimuuliza Bukoba kuna shida gan atakwambia stendi na soko......people watu wanajaji mji wa bukoba kwa kuongalia stendi na soko?
Tuendelee kutoa facts...
.View attachment 2569152