Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hakuna mtu atapeleka bus Mwanza.
Hawa hapa wameshaanza kwenda Mbeya
Ya mineso
20230402_082845.jpg
20230401_231534.jpg
 
Suala la mabus ukitoa dar mwanza namba mbili kiufup mwanza ni namba mbili Kila kitu japo ad namba moja inashika mfano majengo yanayoendelea kujengwa Iko namba moja
 
Ukiona company imeleta bas halafu hazina route MWANZA ujue hyo company bado inajipanga au Haina Hela za kutosha maana sisi huku mwanza wamiliki WA mabus sio waarabu ni ngosha,kurya,na nshomile usicheze na Kanda ya ziwa
 
Gari ruti ya Lusaka dar ...inawahusu nini mbeya
Haituhusu Kwa sababu Huwa haipakii Abiria wa Mbeya Wala Tunduma na hiyo picha haijapigwa Mbeya imepigwa Lusaka 🤪🤪🤪🤪

Mwisho Wala haipiti Mbeya Huwa inapitia Mwanza 🤣🤣

 
Back
Top Bottom