ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,254
- 85,128
- Thread starter
- #15,021
Kanda ya kusini yote wamedumaa
Hakuna mtu atapeleka bus Mwanza.According to wao wanadai ni Tunduma Mbeya na Mwanza.
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Ya minesoHakuna mtu atapeleka bus Mwanza.
Hawa hapa wameshaanza kwenda Mbeya
Chuma Mpya zinazokuja Mbeya ni 🔥🔥
Mabasi makali kama haya mtakuwa mnayaona Mbeya na kwenye TV tuu 😁😁
Zuberi..mzigo Mpya ushaingia...we chekelea shabiby ambaye hata mwanza ana gari zake kibaoMabasi makali kama haya mtakuwa mnayaona Mbeya na kwenye TV tuu
Gari ruti ya Lusaka dar ...inawahusu nini mbeyaMabasi makali kama haya mtakuwa mnayaona Mbeya na kwenye TV tuu


Ukiniletea bas ..1by 2 VVIP kama hili naleft jfMabasi makali kama haya mtakuwa mnayaona Mbeya na kwenye TV tuu
Mabasi makali kama haya mtakuwa mnayaona Mbeya na kwenye TV tuu 😁😁
Tulishavuka hukoUkiniletea bas ..1by 2 VVIP kama hili naleft jfView attachment 2573678View attachment 2573679
Haituhusu Kwa sababu Huwa haipakii Abiria wa Mbeya Wala Tunduma na hiyo picha haijapigwa Mbeya imepigwa Lusaka 🤪🤪🤪🤪Gari ruti ya Lusaka dar ...inawahusu nini mbeya![]()
Unajua Mwekezaji lakini? Ameshusha vitu Vipya maana si unajua kwetu Huwa hatupati mabati na mitumbwi kama ya huko kwenuZuberi..mzigo Mpya ushaingia...we chekelea shabiby ambaye hata mwanza ana gari zake kibaoView attachment 2573676View attachment 2573677
Hii ndio 1by 2


Unarudia rudia picha ili kusatistfy your egoUnajua Mwekezaji lakini? Ameshusha vitu Vipya maana si unajua kwetu Huwa hatupati mabati na mitumbwi kama ya huko kwenu View attachment 2573758View attachment 2573759View attachment 2573760View attachment 2573761View attachment 2573763View attachment 2573765View attachment 2573766View attachment 2573767View attachment 2573768View attachment 2573758View attachment 2573759View attachment 2573760View attachment 2573761View attachment 2573763View attachment 2573765View attachment 2573766View attachment 2573767View attachment 2573768

