Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Leta barabara za mbeya zinazoingia kwenye estate tulinganishe na za bukoba.Kwamba Mbeya Haina Barabara za mtaani au unataka kusemaje bwashee
Leta barabara za mbeya zinazoingia kwenye estate tulinganishe na za bukoba.Kwamba Mbeya Haina Barabara za mtaani au unataka kusemaje bwashee
Hakuna mji hapo me naona mabanda ya kufugia kuku wa kisasa.
Ukwel na uhalisia niw vtu viwil tofautHakuna mji hapo me naona mabanda ya kufugia kuku wa kisasa.
Picha ziko wapi? 🤣🤣
Kumbe unataka maghorofaLeta magorofa ya bukoba yakifka kumi bukoba imeshinda




Siwezi kujichosha kulinganisha Jiji na Kijiji Cha uvuvi ,Bukoba ilinganishe na Sumbawanga 👇Leta barabara za mbeya zinazoingia kwenye estate tulinganishe na za bukoba.
Hakuna mji hapo me naona mabanda ya kufugia kuku wa kisasa.
Usiletee takwimu walizokusanya watu wanaohesbia mbk mabanda wansema nyumba leta picha za hayo magorofa ya kagera nyumbu huwa mnaaminishwa ujinga mnaamnKumbe unataka maghorofa
Kwa hiyo mji ni kuwa na maghorofa kama ni hivyo basi vijiji vya muleba na misenyi ni miji maana kuna maghorofa kibao huko migombani
Choiceavailable hebu leta takwimu zako za maghorofa....
Kagera ni mkoa wa kumi kwa idadi ya maghorofa ina maghorofa zaidi ya 700 huku iringa ina maghorofa 500 hao ni NBS sio mimiView attachment 2569164View attachment 2569165
Sumbawanga ipo mbali kwa bukoba yani bukoba fananisha na kigoma na musomaSiwezi kujichosha kulinganisha Jiji na Kijiji Cha uvuvi ,Bukoba ilinganishe na Sumbawanga 👇View attachment 2569166View attachment 2569167View attachment 2569168View attachment 2569169View attachment 2569170
Kagera huto tugorofa tuko mashambani huko na nyingi ni makazi ya watu sio majengo ya biashara ndio maana Mji umedumaa.Kumbe unataka maghorofa
Kwa hiyo mji ni kuwa na maghorofa kama ni hivyo basi vijiji vya muleba na misenyi ni miji maana kuna maghorofa kibao huko migombani
Choiceavailable hebu leta takwimu zako za maghorofa....
Kagera ni mkoa wa kumi kwa idadi ya maghorofa ina maghorofa zaidi ya 700 huku iringa ina maghorofa 500 hao ni NBS sio mimiView attachment 2569164View attachment 2569165
Kigoma ni ya moto labda Musoma na Tabora na magofu ya Kahama ndio size Yao 😁😁Sumbawanga ipo mbali kwa bukoba yani bukoba fananisha na kigoma na musoma
Vijibanda vya juu wanasema gorofa yni vibanda viwil vile wanaona magorofa kama kwel wanabisha walete picha ya CBD ya bukoba ili tuwaonesha tofaut ya gorofa na buldingKagera huto tugorofa tuko mashambani huko na nyingi ni makazi ya watu sio majengo ya biashara ndio maana Mji umedumaa.
😂😂😂😂😂😂😂 Wamefananisha na miji yote ila wap nyumbu bhnKigoma ni ya moto labda Musoma na Tabora na magofu ya Kahama ndio size Yao 😁😁
Hivyo vyoo vya sumbawanga kila muda unapost hakuna makazi bora zaidi ya tuvichuguu twa NHCSiwezi kujichosha kulinganisha Jiji na Kijiji Cha uvuvi ,Bukoba ilinganishe na Sumbawanga 👇View attachment 2569166View attachment 2569167View attachment 2569168View attachment 2569169
Kaka naomb Picha ya bukoba town centre ili nisibishane tenaHivyo vyoo vya sumbawanga kila muda unapost hakuna makazi bora zaidi ya tuvichuguu twa NHC
Unapenda kujifanya chizi kila muda, leta miji yenu tuone kama inaweza kupimana ubavu hata na bariadi.😂😂😂😂😂😂😂 Wamefananisha na miji yote ila wap nyumbu bhn
Proof kwamba hapo ni Bukoba?...mimi najua nyumba za Bukoba zimezungukwa na migomba na kahawa sasa hii ni Bukoba vijijini ya wap kaka....Bukoba hapomnazaliana kama nyumbu alaf akili zero


Leta picha la kijiji chenu cha mbeya kisichokuwa na town centre.Kaka naomb Picha ya bukoba town centre ili nisibishane tena
😂😂😂😂😂😂😂😂 Bariad level ya mafinga maana ndo size bdo mafinga ipo juu mbali lbda tufananishe na kata 3 za jiji la mbeyaUnapenda kujifanya chizi kila muda, leta miji yenu tuone kama inaweza kupimana ubavu hata na bariadi.
Kaka mbona unakuwa mkali nimekuomba picha ya bukoba nikupe ya mkwawa city alaf ufananishe kati ya man na boyLeta picha la kijiji chenu cha mbeya kisichokuwa na town centre.
Sasa huoni anatoka shambani huyo? Ndo maana nasema hamna akili...kwanza ana viatu na anafanya kazi nyinyi si mnasema sijui wavivu...na hapo ana nyumba kali na watoto wake wanaenda shule...hvyo ndo watu wa kagera walivyo...Kuna nyumbu ilisema bukoba rami mbk vijijini hapo kwel nimekubal kweli nyie ni nyumbu hamjawah kuwa na akili
Watapita wakiwa wamevaa baibui na miwani nyeusi kama vile hawaoni.Proof kwamba hapo ni Bukoba?...mimi najua nyumba za Bukoba zimezungukwa na migomba na kahawa sasa hii ni Bukoba vijijini ya wap kaka....
Au utakuwa unatafuta nyumba za wahamiaji wa kirundi waliojificha biharamulo na ngara huko
Kwa Tanzania hii ukiachana na huko moshi hakuna mkoa wenye vijiji vyenye makazi bora kama Vijiji vya kagera hasa kwa wahaya na wanyambo....
Vijijini huko muleba, misenyi na Bukoba vijijini View attachment 2569175View attachment 2569176View attachment 2569177View attachment 2569178View attachment 2569179View attachment 2569180View attachment 2569181View attachment 2569182View attachment 2569183