Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Leta magorofa ya bukoba yakifka kumi bukoba imeshinda
Kumbe unataka maghorofa

Kwa hiyo mji ni kuwa na maghorofa kama ni hivyo basi vijiji vya muleba na misenyi ni miji maana kuna maghorofa kibao huko migombani


Choiceavailable hebu leta takwimu zako za maghorofa....

Kagera ni mkoa wa kumi kwa idadi ya maghorofa ina maghorofa zaidi ya 700 huku iringa ina maghorofa 500 hao ni NBS sio mimi
Screenshot_20230328-220213.jpg
FB_IMG_16672378731384675.jpg
 
Hakuna mji hapo me naona mabanda ya kufugia kuku wa kisasa.

Kumbe unataka maghorofa

Kwa hiyo mji ni kuwa na maghorofa kama ni hivyo basi vijiji vya muleba na misenyi ni miji maana kuna maghorofa kibao huko migombani


Choiceavailable hebu leta takwimu zako za maghorofa....

Kagera ni mkoa wa kumi kwa idadi ya maghorofa ina maghorofa zaidi ya 700 huku iringa ina maghorofa 500 hao ni NBS sio mimiView attachment 2569164View attachment 2569165
Usiletee takwimu walizokusanya watu wanaohesbia mbk mabanda wansema nyumba leta picha za hayo magorofa ya kagera nyumbu huwa mnaaminishwa ujinga mnaamn
 
Kumbe unataka maghorofa

Kwa hiyo mji ni kuwa na maghorofa kama ni hivyo basi vijiji vya muleba na misenyi ni miji maana kuna maghorofa kibao huko migombani


Choiceavailable hebu leta takwimu zako za maghorofa....

Kagera ni mkoa wa kumi kwa idadi ya maghorofa ina maghorofa zaidi ya 700 huku iringa ina maghorofa 500 hao ni NBS sio mimiView attachment 2569164View attachment 2569165
Kagera huto tugorofa tuko mashambani huko na nyingi ni makazi ya watu sio majengo ya biashara ndio maana Mji umedumaa.
 
Bukoba hapo mnazaliana kama nyumbu alaf akili zero
Proof kwamba hapo ni Bukoba?...mimi najua nyumba za Bukoba zimezungukwa na migomba na kahawa sasa hii ni Bukoba vijijini ya wap kaka....

Au utakuwa unatafuta nyumba za wahamiaji wa kirundi waliojificha biharamulo na ngara huko



Kwa Tanzania hii ukiachana na huko moshi hakuna mkoa wenye vijiji vyenye makazi bora kama Vijiji vya kagera hasa kwa wahaya na wanyambo....





Vijijini huko muleba, misenyi na Bukoba vijijini
images%20(9).jpg
images%20(12).jpg
images%20(10).jpg
images%20(11).jpg
images%20(13).jpg
images%20(18).jpg
images%20(19).jpg
FEFf-1CVUAsslxl.jpg
images%20(16).jpg
 
Unapenda kujifanya chizi kila muda, leta miji yenu tuone kama inaweza kupimana ubavu hata na bariadi.
😂😂😂😂😂😂😂😂 Bariad level ya mafinga maana ndo size bdo mafinga ipo juu mbali lbda tufananishe na kata 3 za jiji la mbeya
 
Kuna nyumbu ilisema bukoba rami mbk vijijini hapo kwel nimekubal kweli nyie ni nyumbu hamjawah kuwa na akili
Sasa huoni anatoka shambani huyo? Ndo maana nasema hamna akili...kwanza ana viatu na anafanya kazi nyinyi si mnasema sijui wavivu...na hapo ana nyumba kali na watoto wake wanaenda shule...hvyo ndo watu wa kagera walivyo...
 
Proof kwamba hapo ni Bukoba?...mimi najua nyumba za Bukoba zimezungukwa na migomba na kahawa sasa hii ni Bukoba vijijini ya wap kaka....

Au utakuwa unatafuta nyumba za wahamiaji wa kirundi waliojificha biharamulo na ngara huko



Kwa Tanzania hii ukiachana na huko moshi hakuna mkoa wenye vijiji vyenye makazi bora kama Vijiji vya kagera hasa kwa wahaya na wanyambo....





Vijijini huko muleba, misenyi na Bukoba vijijini View attachment 2569175View attachment 2569176View attachment 2569177View attachment 2569178View attachment 2569179View attachment 2569180View attachment 2569181View attachment 2569182View attachment 2569183
Watapita wakiwa wamevaa baibui na miwani nyeusi kama vile hawaoni.
 
Back
Top Bottom