ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,254
- 85,128
- Thread starter
- #14,941
😁😁😁😁😁😁😁 Kwa hiyo unabisha 🤣🤣🤣🤣 unakataa kwenu ?Misungwi haiwezi kuwa kilofa hivi, hii labda ni misasi na misasi kuna majumba makali na barabara safi adi mlangoni, hii ni nsalaga.
Sidhani kuna mwaka mkoa wa kagera ushawahi kukosa timu ligi kuu....ilikuwepo Balimi fc baadae Kagera sugar ambayo haijawahi kushuka ligi toka ipande....na imechukua kombe la tusker 2006...Uwanja bila Timu ni makumbusho![]()
Nyinyi kuna timu ilishawahi hata chukua kombe la kitaifa? Vip inatoa wachezaji wangapi timu ya taifa?Kabwe hatuna vitimu vya mashambani huko kwenye miwa
Umeanza kufuatilia soka baada ya kupata Kagera Sugar au?Nyinyi kuna timu ilishawahi hata chukua kombe la kitaifa? Vip inatoa wachezaji wangapi timu ya taifa?
Kagera sugar alishawahi kuwa bingwa wa tusker miaka ya 2006...timu ina hadi academy yake...
Hapo itakuwa misungwi ya misasi maana ukiongelea misungwi imemezwa na Jiji la mwanza kama unajua nyashishi na usagara zipo ndani ya Jiji ila ni misungwi
Iringa ina lima chai tz nzima ina kiwanda cha chai kikubwa nchini ina kiwanda cha maziwa kikubwa nchi nzima na ndo lango kuu la utalii iringa ndo mkoa unaozalisha mbao tz nzima sasa utafananishaje na hivyo vibandali vinavyopokea boti mbili kwa mwezi na kuhusu makanisha hiyo sio maendeleo ni ushamba wenu nyumbu ila makanisa yapo tz nzimaIla ndio lango la magonjwa kuingia Tanzania 🤣🤣
Iringa ina lima chai tz nzima ina kiwanda cha chai kikubwa nchini ina kiwanda cha maziwa kikubwa nchi nzima na ndo lango kuu la utalii iringa ndo mkoa unaozalisha mbao tz nzima sasa utafananishaje na hivyo vibandali vinavyopokea boti mbili kwa mwezi na kuhusu makanisha hiyo sio maendeleo ni ushamba wenu nyumbu ila makanisa yapo tz nzima
Na kwenye swala la viwanda iringa ipo mbali sanaa
Viwanda gani hivi vya pipi?Iringa ina lima chai tz nzima ina kiwanda cha chai kikubwa nchini ina kiwanda cha maziwa kikubwa nchi nzima na ndo lango kuu la utalii iringa ndo mkoa unaozalisha mbao tz nzima sasa utafananishaje na hivyo vibandali vinavyopokea boti mbili kwa mwezi na kuhusu makanisha hiyo sio maendeleo ni ushamba wenu nyumbu ila makanisa yapo tz nzima
Na kwenye swala la viwanda iringa ipo mbali sanaa
Bukoba port...second largest and busies port in the lake region baada ya ile ya mwanza....Iringa ina lima chai tz nzima ina kiwanda cha chai kikubwa nchini ina kiwanda cha maziwa kikubwa nchi nzima na ndo lango kuu la utalii iringa ndo mkoa unaozalisha mbao tz nzima sasa utafananishaje na hivyo vibandali vinavyopokea boti mbili kwa mwezi na kuhusu makanisha hiyo sio maendeleo ni ushamba wenu nyumbu ila makanisa yapo tz nzima
Na kwenye swala la viwanda iringa ipo mbali sanaa

Maana halisi ya manispaa/ mji.....sio kujenga zile slum like manzese ndo mnaita Iringa municipality....Iringa ina lima chai tz nzima ina kiwanda cha chai kikubwa nchini ina kiwanda cha maziwa kikubwa nchi nzima na ndo lango kuu la utalii iringa ndo mkoa unaozalisha mbao tz nzima sasa utafananishaje na hivyo vibandali vinavyopokea boti mbili kwa mwezi na kuhusu makanisha hiyo sio maendeleo ni ushamba wenu nyumbu ila makanisa yapo tz nzima
Na kwenye swala la viwanda iringa ipo mbali sanaa
Haya wataliii huwa wanaenda bukoba ili ulizke nyumbuViwanda gani hivi vya pipi?
Viwanda vya maziwa, chai nk vyote vipo kagera...
Kagera kuna hifadhi mbili kama hujui Rumanyika national park na burigi chato nation park...
Tena unakuta idadi ya watalii wanaoenda Bukoba ni wengi kuliko wanaenda huko Iringa...watalii wangekuwa wengi uwanja wenu wa Iringa na songwe ungekuwa busy...
Kwhy hizi ndo hotel zenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maana halisi ya manispaa/ mji.....sio kujenga zile slum like manzese ndo mnaita Iringa municipality....
Hebu tazama haya mazingira ya bukoba View attachment 2570347View attachment 2570349View attachment 2570351View attachment 2570352
Hiyo ni rami au vumbiRumuli street Bukoba....
A little Paris....View attachment 2570362
Nyumbu huwa mnajijaza uongo kuwa ukwel mm nilijua tunaambizana ukwel kumbe ni joke's tu hapo sawaa kwel bukoba imeendelea Tanzania nzima au mnasemaje nyumbu kama nyumbu🤣😂😂😂😂😂😂😂😂 chai bora ipo available nchi nzima haya bukoba kuna chai gan inayojulikana dah mbk hapo ctabishana tena naona tunaleta joke'sViwanda gani hivi vya pipi?
Viwanda vya maziwa, chai nk vyote vipo kagera...
Kagera kuna hifadhi mbili kama hujui Rumanyika national park na burigi chato nation park...
Tena unakuta idadi ya watalii wanaoenda Bukoba ni wengi kuliko wanaenda huko Iringa...watalii wangekuwa wengi uwanja wenu wa Iringa na songwe ungekuwa busy...
Eti iko available nchi nzima...mbona Bukoba kuna yetu chai na iko kanda ya ziwa koteNyumbu huwa mnajijaza uongo kuwa ukwel mm nilijua tunaambizana ukwel kumbe ni joke's tu hapo sawaa kwel bukoba imeendelea Tanzania nzima au mnasemaje nyumbu kama nyumbuchai bora ipo available nchi nzima haya bukoba kuna chai gan inayojulikana dah mbk hapo ctabishana tena naona tunaleta joke's
Tulia hapo hapo...maana unaongea sana....Bukoba...Hiyo ni rami au vumbi