Kahama VS Njombe/Mafinga

Acha uwendawazimu...huwezi linganisha Bukoba na miji ya huko kusini...tena sio kwa skyline...kwa kanda ya ziwa Baada ya Mwanza inafata bukoba kwa maghorofa na skyline hata takwimu za Nbs zinasema hivyo
 

Attachments

  • images%20(1)%20(4).jpg
    89.5 KB · Views: 6
Sema mbeya mmetengwa sana....barabara nyingi ni za matope...yaan hapo naona barabara moja sijui ndo kuu...

Na hapo ni baada ya kuwekewa filter kibao...


Tazama huo mtaa kule juu...na hii ni 2016 bukoba

View attachment 2565104
Duu sawa ila soon mnaanza kulia lia.

Njia zimeanza kujengwa,Tactic km 21 tenda tayari, TanRoads wanajenga km 5 na Tarura kama kawaida km 7 .

Njoo hapa Mbeya 2025 uje uongee hayo uliyoyaongea.
 
Duu sawa ila soon mnaanza kulia lia.

Njia zimeanza kujengwa,Tactic km 21 tenda tayari, TanRoads wanajenga km 5 na Tarura kama kawaida km 7 .

Njoo hapa Mbeya 2025 uje uongee hayo uliyoyaongea.
Mwanza tactics ni km 28 tarura km 10 tanroad 12km bado masoko 3 ya kisasa na ujenzi wa Kingo za mto wa kisasa upo hapo?😃😃
 
Kila Siku tunawaambia Barabara ziko Nyanda za Juu huko kwenu ni hasara Kwa Taifa ndio hawajengi quality roads kama hizi

Imagine huko ni Wilayani tuu.
 
Hizi loadge wew nyumbu hujui hata maana ya hotel
 
Naomb picha za hayo magorofa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…