ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,263
- 85,128
- Thread starter
- #14,501
Kidimbwi bus terminal 🤣🤣🤣
Bado unanishangaza sana unaposema kagera hakuna hospital ya mkoaUjenzi wa Hospital ya Uyole,Kagera hata ya Mkoa hawana View attachment 2565501View attachment 2565502View attachment 2565503
...sijui unamaanisha hospital gan specifically...

Iko wapi?Bado unanishangaza sana unaposema kagera hakuna hospital ya mkoa...sijui unamaanisha hospital gan specifically...
Au unataka hospital iwe maghorofa![]()
Nishakuzuia Kila siku kulinganisha mbeya na mwanza huo upuuzi peleka hukoIko wapi?
Acha uwendawazimu...huwezi linganisha Bukoba na miji ya huko kusini...tena sio kwa skyline...kwa kanda ya ziwa Baada ya Mwanza inafata bukoba kwa maghorofa na skyline hata takwimu za Nbs zinasema hivyoView attachment 2565092View attachment 2565093View attachment 2565094View attachment 2565095View attachment 2565096View attachment 2565097
Ebu toa kelele zako . leta na picha za kihesa na kitwiru tuoneAlaf kuna nyumbu moja anatuletea kijiji cha bukoba matope pale mjini eneo moja la kupigia picha kanisani tu hiyo ni sehem tu ya iringa city welcome home of intellectual sio kutuletea dada zenu watukatikie kwa jero![]()
Haka kamji kenye barabara moja na slums kibao...Alaf kuna nyumbu moja anatuletea kijiji cha bukoba matope pale mjini eneo moja la kupigia picha kanisani tu hiyo ni sehem tu ya iringa city welcome home of intellectual sio kutuletea dada zenu watukatikie kwa jero![]()
Hapo ni kihesa semtema
Haka kamji kenye barabara moja na slums kibao...
Bukoba kolping hotel....sasa
Sasa haya kwetu mejengo ya hostel za wanafunzi tosa boys na iringa girlsHaka kamji kenye barabara moja na slums kibao...
Bukoba kolping hotel....View attachment 2565538View attachment 2565539View attachment 2565540
Unaonekana umepauka kama hizi Barabara zako..
Hiyo sio simu ni kitochi unatia aibu 😁😁
Sihitaji filter mie nachukua naturalUnaonekana umepauka kama hizi Barabara zako..
Hiyo sio simu ni kitochi unatia aibu 😁😁
😂😂😂😂😂 Hata dar kuna tandale na masaki ila zote zipo dar
Zilete tuone maana....Bukoba kwa shule ndo penyew....Sasa haya kwetu mejengo ya hostel za wanafunzi tosa boys na iringa girls
Kidimbwi bus terminal 🤣🤣🤣
Bukoba inafnya vzr kielimu ila mkoa wa kagera haupo vzr kielimuZilete tuone maana....Bukoba kwa shule ndo penyew....
Tatizo lako unapenda kubishana kwa kejeli na matusi na sio hoja zenye facts.....
Tunajadili topic za kulinganisha miji wew upo unatukana dada zetu na mama zetu wa kihaya...Mimi sister yangu ambaye ni wa kihaya anaweza kukulisha wew na ukoo wenu kwa miaka kumi...hao wanawake wa kihaya tafuta professors wengi wamama wengi ni kabila gani....anyway acha kabisa kutukana na jamii kwa story unazohisi na kujeneralize...
Isijekuwa nabishana na teeneger hapa......
Aibu kwako ukiongelea international school mwanza zipo tena hadhi ya juu pia Kahama ipo moja kitu ambacho mbeya ipo ila haifany Kaz imebak jina TU samaritanShule 10 Za gharama Tanzania kanda ya nyumbu hawana shule ya hadhi kama hizi