Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Post na hili Bas
20230325_213106.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zilete tuone maana....Bukoba kwa shule ndo penyew....

Tatizo lako unapenda kubishana kwa kejeli na matusi na sio hoja zenye facts.....
Tunajadili topic za kulinganisha miji wew upo unatukana dada zetu na mama zetu wa kihaya...Mimi sister yangu ambaye ni wa kihaya anaweza kukulisha wew na ukoo wenu kwa miaka kumi...hao wanawake wa kihaya tafuta professors wengi wamama wengi ni kabila gani....anyway acha kabisa kutukana na jamii kwa story unazohisi na kujeneralize...

Isijekuwa nabishana na teeneger hapa......
Bukoba inafnya vzr kielimu ila mkoa wa kagera haupo vzr kiel
Aibu kwako ukiongelea international school mwanza zipo tena hadhi ya juu pia Kahama ipo moja kitu ambacho mbeya ipo ila haifany Kaz imebak jina TU samaritan
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ilete hapa tuone kama inagharama za kuzishinda shule hizo hapo ila iringa tena top five
 
Bukoba inafnya vzr kielimu ila mkoa wa kagera haupo vzr kiel

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ilete hapa tuone kama inagharama za kuzishinda shule hizo hapo ila iringa tena top five
Hiyo list uliepost nusu ipost yote utaona shoga ewe
 

Attachments

  • inbound1379241915987322879.jpg
    inbound1379241915987322879.jpg
    239.4 KB · Views: 9
Mambo tunayoyahitaji kwenye miji mingi ya Tanzania...Ni plaza, shoping malls, supermarkets nk...

Sio miji mingi inakuwa kwa fremu na slums tu

Na Bukoba iko kwenye right track...

Kibira plaza
KIB.PNG
 
Hii ligi umevamia tu huiwezi...huo mji unaoutetea iringa ni kamji kadogo kamebamwa na milima mikubwa na mji uko linear inazidiwa na kahama...ukitoka town kimji kinaishia kihesa kilolo km 5 ..ukija huko mji unaishia kitwiru km 5 ...ni machaka na milima tu imejaa humo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiubishani ni sawa ila kiuhalisia sio kwel kahama haiwez kuizid iringa hilo swala sahau
 
Alaf kuna nyumbu moja anatuletea kijiji cha bukoba matope pale mjini eneo moja la kupigia picha kanisani tu hiyo ni sehem tu ya iringa city welcome home of intellectual sio kutuletea dada zenu watukatikie kwa jero
Bukoba downtown...
town.PNG
msira.PNG
FB_IMG_15963970464548292.jpg
 
Hii ligi umevamia tu huiwezi...huo mji unaoutetea iringa ni kamji kadogo kamebamwa na milima mikubwa na mji uko linear inazidiwa na kahama...ukitoka town kimji kinaishia kihesa kilolo km 5 ..ukija huko mji unaishia kitwiru km 5
emoji1787.png
emoji1787.png
...ni machaka na milima tu imejaa humo

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuletea hapo kitwiru unaposema kutoka city centre
Kwhy hapo ndo mjini,🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii ligi umevamia tu huiwezi...huo mji unaoutetea iringa ni kamji kadogo kamebamwa na milima mikubwa na mji uko linear inazidiwa na kahama...ukitoka town kimji kinaishia kihesa kilolo km 5 ..ukija huko mji unaishia kitwiru km 5 ...ni machaka na milima tu imejaa humo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • inbound5015981857231678192.jpg
    inbound5015981857231678192.jpg
    153.6 KB · Views: 10
Back
Top Bottom