Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Huyu anaeisema bukoba vibaya ni mpumbavu na hajui alifanyalo kinachoiharibia bukoba ni vitu viwili ni stand pamoja na soko tu lkn bukoba ipo vzur mnoo Wana taasisi nyingi kama mashule,makanisa na mahoteli pia Wana barabara za lami nzuri mnoo had vijijini Wana kanisa zuri la catholic kuliko lolote Tz ila likiisha la mwanza kawekamo ndo inafuatia pale bukoba manispaa tu wanashule za advance kama 7 ihungo,nyakato,kahororo,rugambwa,bukoba sec,omumwani na private nyingi sana nilikuwepo juzi bukoba sasa hv Wana had magorofa 8 kama 5 ndo uje ulinganishe na ujinga wa njombe pia bukoba Wana uwanja mzur wa mpira kaitaba
Povu na makasiriko ni vya nini?😁😁😁😁

Nzuri mno kulinganisha na wapi? Hivyo unavyovitaja hata Manyumbu vipo so sio big deal .
 
Kielimu bukoba tupo vzur Kuna shule inaitwa kemobos inakuwaga ya kwanza kitaifa au Tano Bora njombe hata mia Bora hamjawah kuingiza shule
 
Chuo kikuu kipi Kwan bukoba hawana vyuo vikuu?
😁😁😁
Screenshot_20230325-094933.jpg
 
Hii Barabara inaenda kuifungua zaidi Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini hasa Mbeya 👇

 
Mzee St. Bakita ipo Hadi Namanyere,hii ni hospital ya Kanisa nataka hospital ya Mkoa ya Serikali.

So acha Ujinga leta hospital ya Mkoa ya Serikali.

St.Bakita Namanyere Rukwa Kuna Hospital na Chuo.View attachment 2564614View attachment 2564615View attachment 2564616
Hospital ya mkoa imekuweko toka uhuru...nyie mmejengewa juzi kelele kibao...sidhani kama zina hata CT scan au Xrays mashines...

Hii hospital ina facilities zote za kuwa hospital japo ni kongwe mno

ggf.JPG
 
Hospital ya mkoa imekuweko toka uhuru...nyie mmejengewa juzi kelele kibao...sidhani kama zina hata CT scan au Xrays mashines...

Hii hospital ina facilities zote za kuwa hospital japo ni kongwe mno

View attachment 2564655
Nona madarasa Kuna majengo ya Hospital hapo?

Sie ukiacha hiyo Mpya tulikuwa na hospital ya Wilaya kitambo.
 
GDP ya Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ileeee !



Msije kusema hatukuwaambia.
 
Back
Top Bottom