Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Utasikia Kila siku Mabasi ni Yale Yale 😁😁

20230324_230237.jpg
20230324_235312.jpg
 
Mkoa wa wahuni na matapeli..

Stand mbaya kama godowns,Mbeya wasijenge ujinga kama huu.
 
Hata hvyo wamejithd maana bukoba hmn hotel yoyote ya maana
Ndo maana hata unayemreply anakushangaa kimsingi Bukoba ina hotel nyingi kuliko hata hiyo mbeya yenu...au unataka tuanze kupost hotel moja moja....

Wew kama unaichukia Bukoba utaendelea kuumia mwenyew...maaana Bukoba itaendelea kukua siku hadi siku...

Google tu yenyew inasema Bukoba kuna hotel 27.....wew ushawahi hata kulala kwenye moja wapo? Kama hulali kwenye gest bubu...
Ingia hapo na uangalie hata reviews

Screenshot_20230325-065238.jpg
 
Ndo maana hata unayemreply anakushangaa kimsingi Bukoba ina hotel nyingi kuliko hata hiyo mbeya yenu...au unataka tuanze kupost hotel moja moja....

Wew kama unaichukia Bukoba utaendelea kuumia mwenyew...maaana Bukoba itaendelea kukua siku hadi siku...

Google tu yenyew inasema Bukoba kuna hotel 27.....wew ushawahi hata kulala kwenye moja wapo? Kama hulali kwenye gest bubu...
Ingia hapo na uangalie hata reviews

View attachment 2564506
Mbona hujaweka za Mbeya Sasa unaweza hicho kiijiji chako Ili kujifariji? 😁😁😁😁

Huko Kanda ya Ziwa hakuna Miji ya maana ni ujinga ujinga tuu.
 
Sasa airport gan ile ina urefu sawa na na kiwanja cha mpira ndo maana ndege znaanguka
Ndo maana nasema una utoto mwingi na kuongea kama mwanamke...wanaume tunaongea na facts sio hisia....

Bukoba Airport ina urefu wa 1.7km ina the best Airport Terminal ukiondoa ile ya Dar na KIA kwa Tanzania....Na soon inaamishwa hapo...

Bukoba iko top five ya domestic Airports zenye passenger wengi Tanzania hii...imagine Bukoba inaizidi hadi Dodoma kwa abiria...yaan ukitoa Mwanza, Arusha na Songwe Airport Bukoba ndo kuna abiria wengi zaidi kuliko miji yote iliyobaki....
Nyie endeleeni kujisifia mastend ambayo hamtaki kuyatumia mfano ile stendi ya Igumbilo...upotevu wa pesa tu...stendi iko underutilized si bora wangeijenga somewhere mjini....kama walikopa watakoma...

Bukoba wako so planned hawakurupuki kujenga miradi yao...ndo maana walianza na ujenzi wa Airport miaka ya 2012 na Bukoba ports...
Na stendi wameanza kuijenga mwaka huu...




Hapo chini ilikuwa 2018...angalia abiria wa Bukoba Airport....wap Iringa
Screenshot_20230325-070431.jpg
 
Hmn kitu bukoba bhn stand tu shida ni manispaa ila bdo ina changamoto nyng
Bukoba na Lindi ni kundi Moja zote ni Manispaa majina Kwa vile ni Makao Makuu ya Mikoa tuu 🤪🤪

Harafu hata kwenye mradi wa Tactic sijaona yaani Huwa naionea Sumbawanga kuishindanisha na Bukoba..

Ila tugorofa mumejitahidi kwingine ni zero.
 
Yaan huo mji wa iringa ukitoa vyuo unabaki nini? Ni kamji kadogo nako kenye slums kibao, nyumba za wahindi na barabara moja ya dual...nothing special with Iringa...

So unatumia hoja ya daladala kulinganisha miji?...sasa daladala si zinawekwa kulingana na mahitaji? Ni kweli watu wa Bukoba wanaumia kukosa daladala? Kama mji unafikika na umefunguka na huduma je kuna ulazima wa daladala?
Kuna miji kama kisumu, Eldoret nchini kenya haina daladala ni bodaboda tu...je Iringa ni mji wa maana kuliko kisumu?



At least Bukoba kuna vitu inaizidi iringa ni vinaeleweka mfano Kuwa accessible na njia zote na usafiri...Bukoba kuna Airport na iko very busy, bukoba kuna bandari mbili na zote zinapokea meli, bukoba inaunganishwa kwa lami na mijj yote mikubwa...
Bukoba imejitosheleza kwa huduma za kijamii kama shule..kuna kata zina sekondari nne...Hospital na vituo vya afya kila mahali nk...
Bukoba ina a lot of hotels at least kuanzia nyota tatu na kuendelea
Bukoba una mtandao mkubwa wa barabara za lami..
Bukoba ni mji wenye kiwanja bora cha mpira hapa nchini...kaitaba..so hata kimchezo iko vzr...

Iringa ukiondoa vyuo kuna nini cha zaidi pale...there is nothing special hata hali ya hewa ya iringa huwezi linganisha na Bukoba bukoba has the best weather ya ukijani
Huna hoja,Vyuo 2 sijui 3 ndio vimejaza Mji au? Huna hoja ,hizo ni excuses za kitoto..

Moja ya sifa kubwa ya Iringa ni Ina CBD nzuri yenye majengo marefu.

Pili Iringa ni Mji wa viwanda usisahau Hili.
 
Wew jamaa...hata wew unaweza ukafungua channel yako ya YouTube ukapost content na zikaangaliwa....

But Iringa ni kamji kadogo sana...ingawa ni kasafi
Kadogo kulinganisha na Mji gani Kabukoba kanaweza sogea hata Kwa Iringa kweli?

Kwanza Songea tuu ni nzuri kuliko Bukoba.
 
Acha ujinga kulinganisha na kagera na mikoa ya watu washirikina....
Huna hoja siku hizi wewe dingi,Bukoba inaingia mara 2 Kwa mapato ya Njombe..

Kasi ya Maendelea ya Mji wa Njombe ni kubwa kuliko dormant town of Bukoba.
 
Mtaa wa miembeni mjini Bukoba....


Leta mitaa kama hii kutoka Mbeya....mbeya ni mji mkusanyiko wa slumsView attachment 2563235
Mbeya ni Jiji wewe mbuzi tena Jiji kubwa Lina mitaa mingi tuu ya maana iliyojengwa vizuri kuliko hako kamtaa kama kamoja hapo Juu na wewe unajua..

Kwa hiyo siwezi hata kujisumbua kulinganisha hicho Kijiji Cha Bukoba na Mbeya..

Mbeya size yake ni Mwanza is big slum..
 
Nchi hii kupata mkoa mpaka uwe na kiongozi mkubwa anaetokea eneo hilo ndo atie mkazo.kahama hawana ndo maana hawaifikilii,ila ina diserv kabisa kua mkoa,watu milion na ushee,halmashauli 3,ina mapato ya kujiendesha,eneo inajitosheleza.
Kahama haitokuja kuwa Mkoa makwe labda sijui wachukue Wilaya zipi maana ukiifanya Mkoa Shinyanga utaifuta au?

Mwisho watu mil.1 watoke wapi hapo Kahama na Wilaya zake?
 
Back
Top Bottom