KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Ni kweli kusini bado wamelala mno ukipenda kulima kule unasafirisha unapiga Hela maan wakaz wa kusini bado taa kichwani zmezima kabisa
Fuse zako zilishakata kitambo 🤪🤪Ni kweli kusini bado wamelala mno ukipenda kulima kule unasafirisha unapiga Hela maan wakaz wa kusini bado taa kichwani zmezima kabisa
Nimepitia ujinga wako wote uliopost nikaona unaongelea Hela Sasa najua pengine at gar yangu ukoo wenu mzima hamna mwenye nayo
Iko Juu ya nini? Mawe au? Unajifariji au siyo?Kahama bado Iko juu naona unaunganisha mikoa yote kusini lakin bado unapumlia mrija
Barabara za mwambao wa Ziwa Nyasa Ludewa Njombe.Nimepitia ujinga wako wote uliopost nikaona unaongelea Hela Sasa najua pengine at gar yangu ukoo wenu mzima hamna mwenye nayo
Na sio njombe na kahama?Iko Juu ya nini? Mawe au? Unajifariji au siyo?
Huu ni Uzi wa Nyanda za Juu vs Lake zone
Kahama ni magofu Haina kitu Cha kushindana na Njombe,kama hoteli huna utashindana na Njombe Kwa kipi?Na sio njombe na kahama?
Hoteli zilizopo kahama njombe hamnaKahama ni magofu Haina kitu Cha kushindana na Njombe,kama hoteli huna utashindana na Njombe Kwa kipi?
Mbumbumbu kama wewe na ushamba wako unajua nini hasa?Hoteli zilizopo kahama njombe hamna
Vitu gani utakavyoshusha zaidi ya uswazi wa Mwanza? Mbona picha za Mwanza zipo huku kibao tuu.Unauhakika tushushe vitu vya lake zone nawe uje na takakataka za kusini?
Sema ewe kidogo dishi linasoma no signal
Ni ziwa Victoria TU nmekwambia post hao sangara nione na jina la sehem sio upost samaki bila evidance maana ziwa Victoria kubwa inaweza chukua sehemu ya Kenya au UgandaMbumbumbu kama wewe na ushamba wako unajua nini hasa?
Wewe uliyekuwa unasema sangara na sato wako lake Victoria tuu umewahi hata ingia hotelini? 😁😁
Nimekujibu Kwa vitendo na picha umeufya eti saizi unaropoka kwamba Kahama Kuna hoteli za kuizidi Njombe 😁😁
Mbna unazopost ni marudio unakaa siku mbili unarudia tenaVitu gani utakavyoshusha zaidi ya uswazi wa Mwanza? Mbona picha za Mwanza zipo huku kibao tuu.
Marudio kama yapi? Una excuses sana wewe dogo,kwanza umekula?Mbna unazopost ni marudio unakaa siku mbili unarudia tena