instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,490
Songea hii unayopost kila siku yenye mabati yenye kutuKadogo kulinganisha na Mji gani Kabukoba kanaweza sogea hata Kwa Iringa kweli?
Kwanza Songea tuu ni nzuri kuliko Bukoba.

Songea hii unayopost kila siku yenye mabati yenye kutuKadogo kulinganisha na Mji gani Kabukoba kanaweza sogea hata Kwa Iringa kweli?
Kwanza Songea tuu ni nzuri kuliko Bukoba.

Eti MwanzaMbeya ni Jiji wewe mbuzi tena Jiji kubwa Lina mitaa mingi tuu ya maana iliyojengwa vizuri kuliko hako kamtaa kama kamoja hapo Juu na wewe unajua..
Kwa hiyo siwezi hata kujisumbua kulinganisha hicho Kijiji Cha Bukoba na Mbeya..
Mbeya size yake ni Mwanza is big slum..
...Huna hoja,hivi wapi Kuna washamba na nyumbu Kati ya Kahama vs Njombe au Mafinga?Nimewahi kuwa kote, Kahama ni the best… Njombe na mafinga watu bado local sana na mchanganyiko wa watu bado sana.
Kahama inakua kila kukicha, hata pato lake lake ni kubwa.
Nafikiri sio sahihi kufananisha Kahama (Manispaa) na Wilaya ya Njombe au Mafinga. Bora uifananishe na Musoma, Tunduma au Mpanda.
Mitaa gan? NsalagaMbeya ni Jiji wewe mbuzi tena Jiji kubwa Lina mitaa mingi tuu ya maana iliyojengwa vizuri kuliko hako kamtaa kama kamoja hapo Juu na wewe unajua..
Kwa hiyo siwezi hata kujisumbua kulinganisha hicho Kijiji Cha Bukoba na Mbeya..
Mbeya size yake ni Mwanza is big slum..




Bora Njombe maana hata Kasi ya ujenzi ni kubwa na hata ukifika kwenye hizo kata ukaona huwezi sema ni Kijiji mana hazifanani na Vijijini hata kidogo..Yale yale niliyokuwa nasema...mnaweza kuwa na kata nyingi ila ni vijiji imagine NJOMBE MJINI kata tatu TU ndo mjini nyingine 10 ni vijiji
..
Halafu acha kulinganisha Bukoba na vimji vya ajabu vya kusini...
Njombe sasaView attachment 2563250
Mitaa gan? Nsalaga
Imagine hapa ndo mjini mbeya
Hiyo hiyo Ina best skyline kuliko BukobaSongea hii unayopost kila siku yenye mabati yenye kutu![]()
Eti skyline....hebu tutoleee uchafu hapa...hiyo songea imedumaa...yaan pamoja na kukamilisha miradi yote ya kimkakati lakin bado mji umechoka vile...Hiyo hiyo Ina best skyline kuliko Bukoba
Nyumbu ni nyumbu tuu,akili huna na pesa za kufanya adventure huna yet umekalia ubishi kama mkia wa mbuzi..Ubongo wako mgando kama ulivo ufupi wapi nakwambia ziwa Tanganyika Lina kina kirefu sana kuliko maziwa yote tz na samaki wanaopstikana humo ni migebuka halafu ew upo kusin matakoni mwa nchi mm mwanza to kigoma masaa matatu nishafika
Eti forest...Kwenye hiyo video umeona forest au magorofani? Umeona Iwambi?

ni vumbi tupu...Pole Kwa hiyo hapo ndio Forest Mpya au old forest?Eti forest...
Hapa ndo forest mbeyani vumbi tupu...
Yaan Mbeya mji wote ni slumsView attachment 2564542
Songea imedumaa? Wewe ni mjinga wa wapi Bwashee?Eti skyline....hebu tutoleee uchafu hapa...hiyo songea imedumaa...yaan pamoja na kukamilisha miradi yote ya kimkakati lakin bado mji umechoka vile...
Viwanja vya kujidai Bukoba....
Westend.bistro Bukoba....View attachment 2564532View attachment 2564533View attachment 2564534
Hebu zunguka mbeya leta mitaa kama hii...acha porojo...Pole Kwa hiyo hapo ndio Forest Mpya au old forest?
Hata block T,Sido mle mko vizuri sana.
Usharudi kwenye mabus....tuendelee na Mbeya yetu...usikimbie madaLuxury hazijawahi pungua pande hii


Mzee St. Bakita ipo Hadi Namanyere,hii ni hospital ya Kanisa nataka hospital ya Mkoa ya Serikali.Bakhita bukoba....View attachment 2564590View attachment 2564591
Slums tupu hamna kitu hapo eti ndio unataka ushindane na Njombe 😁😁Usharudi kwenye mabus....tuendelee na Mbeya yetu...usikimbie mada
Wap mwamjelwa
Migeyo Bukoba....hebu Tazama mji ulivyopangwa...na hapo ilikuwa 2018View attachment 2564586View attachment 2564588