Ubongo wako mgando kama ulivo ufupi wapi nakwambia ziwa Tanganyika Lina kina kirefu sana kuliko maziwa yote tz na samaki wanaopstikana humo ni migebuka halafu ew upo kusin matakoni mwa nchi mm mwanza to kigoma masaa matatu nishafikaBwege wewe,kina kitefu ndiko wanakua wakubwa..
Harafu usikariri hiyo ni specie ya tilapia tuu
Kuna choma zone ,Kuna chillers na 101 the magicJana nilikuwa kiwanja fulani... panaitwa Choma zone...ni hatari sana
Bukoba ni mzuri mzuri kuliko mikoa yote kusini maana hata hicho kijijii Cha mbeya hakiifikii bukobaYet Mkoa mzima wa Kagera is poor haiwezi fikia level za Njombe 👇View attachment 2562433View attachment 2562434View attachment 2562435View attachment 2562436View attachment 2562437View attachment 2562438View attachment 2562439
Tatizo lako wewe hunaga akiliBukoba ni mzuri mzuri kuliko mikoa yote kusini maana hata hicho kijijii Cha mbeya hakiifikii bukoba
Wilaya gan haijaunganishwaKusini miundo mbinu ilichelewa mno maana Kuna mpaka now wilaya haijaunganishwa na mkoa Kwa lami
Naam...
Siwez lingana na ewe sjui hjifikiriag maana ad unashonokaga kidame Kwa miji ya watu Ili mradi kiwewe chako kitulie lakin unaktana na za usoTatizo lako wewe hunaga akili
Kwenye Idadi ya Miradi huna uwezo wa kutajaMbeya na Mwanza ni bampa to bampa kwenye uwekezaji
Nyanda za Juu tumewakilishwa na Mikoa 2,Ruvuma inakuja Kwa Kasi sana.


..hivyo vikampuni viwili vya maparachichi na mpunga visikutie kiwewe Idadi ya MiradiMbeya na Mwanza ni bampa to bampa kwenye uwekezaji
Nyanda za Juu tumewakilishwa na Mikoa 2,Ruvuma inakuja Kwa Kasi sana.
Kwako Cha muhimu ni idadi au thamani? Idadi ndio GDP? 🤣🤣
GDP inapima idadi au thamani? 😁😁😁 Ndio unavyojifariji baada ya kulambishwa lolo na Ruvuma 🤪🤪🤪🤪Kwenye Idadi ya Miradi huna uwezo wa kutaja..hivyo vikampuni viwili vya maparachichi na mpunga visikutie kiwewe
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2563026
Leta hizo takwimu za GDP basGDP inapima idadi au thamani?Ndio unavyojifariji baada ya kulambishwa lolo na Ruvuma
![]()

GDP ya 2022 ndio itaongea ukweli hii ni ya kujifarijia tuu 😆😆
Kwanza wamepanua manispaa ya Bukoba.....kutoka SQKM 101 sijui zitafika ngap...wanaongeza kata tisa za halmashauri ya wilaya ya Bukoba vijijini kwenye manispaa.Tupe wa bukoba mc wapo wangap
Acha ujinga kulinganisha na kagera na mikoa ya watu washirikina....Yet Mkoa mzima wa Kagera is poor haiwezi fikia level za NjombeView attachment 2562433View attachment 2562434View attachment 2562435View attachment 2562436View attachment 2562437View attachment 2562438View attachment 2562439
Mtaa wa miembeni mjini Bukoba....Tatizo lako wewe hunaga akili