Mussa Montelli
Senior Member
- Jul 18, 2022
- 188
- 81
Kwanza wamepanua manispaa ya Bukoba.....kutoka SQKM 101 sijui zitafika ngap...wanaongeza kata tisa za halmashauri ya wilaya ya Bukoba vijijini kwenye manispaa.
Jambo la aibu yani manispaa ina KM 101 🤣🤣🤣🤣🤣 sawaa na makambako na mafinga kwel bukoka ina mengi ya kujifunza kwa njombe


