Mkuu mimi sipo kishabiki bali nitakupa ukweli,kwanza umekosea kulinganisha mkoa na wilaya,Njombe ni mkoa ina wilaya 4 na Halmashauri 6 ambapo mafinga na kahama zote ni wilaya.kwa kuangalia fursa za kibiashara katik hayo maeneo uliyotaja Njombe wilaya na hata Mkoa ipo mbali sana kuzidi hizo wilaya ulizozitaja.
Lakini kwa point yako sehemu ya wewe kuanzia fursa nitakushauri uende kahama kwa sababu zifuatazo
1.Ni vigumu sana kufanya biashara ya aina yoyote Njombe/mafinga kama sio mzawa au mshirikina
2.Njombe hamna mchanganiko wa watu wa mikoa mingine,tofauti na wafanyakazi wa serikalini,so bado wana mambo ya kizamani ya undugu na ukwetu.
So it is better uende kahama