Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kanda ya ziwa hamna barabara
20230214_191243.jpg
20230214_191247.jpg
 
Tulia hivyo hivyo kuna km 54 dual carriage zinakuja soon.
Halafu sisi jiji letu sio level ya kuongelea barabara za TACTIC mtandaoni ambazo kila mwaka zinajengwa. Hizo huwa hatutumii nguvu zipo tu automatically, na mwaka huu zipo za kutosha tu
Zinakuja

Barabara gani hizo mnazojenga Kila mwaka? Mbona hatuziona na mnategemea tactic?

Wewe elewa kwamba Mbeya hatuwezi kushindana na nyie kwenye Barabara.

Hata zikija hizo km 54 Bado tuna km 218 za Igawa,Uyole Hadi Tunduma hakuna kitu mtatushinda.

Mwisho niliwaambia Mwanza hakuna Dual carriage narudia hakuna,hiyo mnaita dual carriage ni kituko..

Hii Barabara ya Mbeya itajengwa kama Sam Nujoma Road, Katikati Kuna mita 9 zitaachwa Kwa Ajili ya Brt,service roads za mita 2 Kila upande huku Kila lane ikiwa na mita 3.5 yaani mita 7 upande mmja na 7 mwingine.

Mbeya itanoga japo wameniudhi sijasikia flyover kama alivyosema VP.
 
Ila Mbeya mlichelewa poleni sana. Mpaka sasa barabara za mtaa ni vumbi tu
Tactic km 23 Jumlisha other Sources km 8.5 ,hizi km 31 zitabadili sura yote ya Jiji ukiacha zilizopo Sasa na za Tanzam.

Kawia ila ufike,Bil.140 ndani ya Mkoa will add to the Regional GDP

 
Ndio maana Ruvuma Iko Miongoni mwa Mikoa 10 yenye GDP kubwa na maisha mazuri

 
Back
Top Bottom