Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Nimekaa paleWait nitakuletea picha vizuri
Haina jipya,kilichoandikwa kinajulikana Toka miaka na miakaTuletee na report ya udumavu kwa watoto![]()
ZinakujaTulia hivyo hivyo kuna km 54 dual carriage zinakuja soon.
Halafu sisi jiji letu sio level ya kuongelea barabara za TACTIC mtandaoni ambazo kila mwaka zinajengwa. Hizo huwa hatutumii nguvu zipo tu automatically, na mwaka huu zipo za kutosha tu





Siku hizi hana jipya huyu
Hatuna ulimbukeni kama wako kila kitu unapost. Server ya JF umeijaza picha za mabasi utafikiri mabasi yapo Mbeya pekeeZinakuja
Barabara gani hizo mnazojenga Kila mwaka? Mbona hatuziona na mnategemea tactic?
Hatuna ulimbukeni kama wako kila kitu unapost. Server ya JF umeijaza picha za mabasi utafikiri mabasi yapo Mbeya pekee























wivu





Tactic km 23 Jumlisha other Sources km 8.5 ,hizi km 31 zitabadili sura yote ya Jiji ukiacha zilizopo Sasa na za Tanzam.Ila Mbeya mlichelewa poleni sana. Mpaka sasa barabara za mtaa ni vumbi tu