Protector
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 423
- 900
hapa Sasa roho yangu imetulia nasubiria kuona Sasa.
Fly over Jijini Mbeya
Daraja la watembea kwa miguu ndio anaita flyover
hapa Sasa roho yangu imetulia nasubiria kuona Sasa.
Fly over Jijini Mbeya
Wale Jamaa wa kule waje kunisha hapa
Wale Jamaa wa kule waje kunisha hapa
Kwako wewe flyovers ni Barabara za kwenye wowowo lako au? Wivu mpaka umeharibu ubongo.Daraja la watembea kwa miguu ndio anaita flyoverView attachment 2519043
Iwapite mara ngapi? Mara kadhaa Biteko amesema Chunya eipita Hadi Kahama ni next Kwa Geita hakuna Cha giants.Haahaaa ngoja nicheke kwanza. Sasa Mbeya itakuwa mkoa wa pili kwa dhahabu baada ya mkoa gani? Atawapita hawa ma giant kwenye migodi ya dhahabu?
1. Norh Mara (Mara)
2. GGM (Geita)
3. Buzwagi na Bulyanhulu (Shinyanga)
4. Nyanzaga (coming soon) Mwanza, ndiyo utakuwa mgodi mkubwa zaidi
Hapo nimetaji migodi mikubwa zaidi ambayo inatambulika kimataifa, bado migodi ya kati ambayo ipo mingi kwa idadi.
RC kachukua reference ya mkoa gani utakaokuwa namba moja halafu Mbeya ndiyo ifate?
Tunaongea kwa fact sio porojo leta data hapa zinazothibisha msemo wako, Biteko alisema wapi? Lini?Awapite mara ngapi? Mara kadhaa Biteko amesema Chunya eipita Hadi Kahama ni next Kwa Geita hakuna Cha giants.
Imetoka hiyo mshapitwa hata ujichekeshe mwaka mzima hutobadiki takwimu
Mbeya inaongoza Kwa wachimbaji wadogo walioko Chunya,achana na Shanta hiyo ya Songwe.Halafu Mbeya mnaongelea mgodi gani? Ni huu wa Shanta ambao upo Mkwajuni wilaya ya Songwe mkoa wa Songwe? Au kuna mwingine?
Hapo ni Kwa migodi sio Kwa Wilaya maana kuna wachimbaji wadogo bwasheeTunaongea kwa fact sio porojo leta data hapa zinazothibisha msemo wako, Biteko alisema wapi? Lini?
Data zangu hizi hapa pinga kwa data
View attachment 2519128
Kumbe unaongelea wachimbaji wadogo. Ndio ufure hivyo? Nilijua unaongelea mgodi bwana mdogo. Sasa wachimbaji wadogo ndio waje wazidi wachimbaji wakubwa wenye wenye Machine na nyenzo za kisasa. Hiyo ndoto inatisha amkaHapo ni Kwa migodi sio Kwa Wilaya maana kuna wachimbaji wadogo bwashee
Chunya huwa mnazalisha dhahabu gani???? (small mining scale) humo hamkosiTunaongea kwa fact sio porojo leta data hapa zinazothibisha msemo wako, Biteko alisema wapi? Lini?
Data zangu hizi hapa pinga kwa data
View attachment 2519128
Huyo ni mweuKumbe unaongelea wachimbaji wadogo. Ndio ufure hivyo? Nilijua unaongelea mgodi bwana mdogo. Sasa wachimbaji wadogo ndio waje wazidi wachimbaji wakubwa wenye wenye Machine na nyenzo za kisasa. Hiyo ndoto inatisha amka




Ila wew jamaa hio kichwa yakoHapo ni Kwa migodi sio Kwa Wilaya maana kuna wachimbaji wadogo bwashee

Imefanya nini? Market share ya Mgodi inahusikaje na kiwango Cha dhahabu ya wachimbaji wadogo wa Chunya?Ila wew jamaa hio kichwa yako![]()
Tete ndio unavyojifariji au siyo? Ukiacha kwamba hatufanani huo uswazi ila hata Barabara yetu itakuwa nzuri.
