ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,414
- 85,226
- Thread starter
- #12,521
Sasa unabishana na Serikali au? Kama.Chunya hakuna dhahabu Kwa nini kuwe na soko kubwa la Madini baada ya Geita?Chunya h
Chunya huwa mnazalisha dhahabu gani???? (small mining scale) humo hamkosi
Kama hakuna dhahabu Kwa nini Serikali ijenge Kituo Cha Jiolojia na Utafiti wa Madini GST?
Hao hao small scale miners ndio wanafanya Chunya inapaa na mapato yanabakia ndani,nyie mnalingia wazungu wanaowaachia mashimo huku Madini wanasomba tuu in Jiwe's voice






