nkanziga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 700
- 1,116
Kwamba hadi za Sumbawanga zimezizidi za Mwanzakile ni kituko ndio maana hakuna hata Taa kwenye grade seperation kuonesha sio standard.
Kwamba hadi za Sumbawanga zimezizidi za Mwanzakile ni kituko ndio maana hakuna hata Taa kwenye grade seperation kuonesha sio standard.
Hilo ni swali au jibu? Leta Barabara kama hii hapo uswazi cityKwamba hadi za Sumbawanga zimezizidi za Mwanza
Sasa kweli unaleta 3dMore of Swax View attachment 2516437
Hii hoteli imeshajengwa Wala sio 3D, hii hapa sema sija I capture vizuriSasa kweli unaleta 3d
Huu upuuzi hauendani na design 😂😂😂Hii hoteli imeshajengwa Wala sio 3D, hii hapa sema sija I capture vizuri View attachment 2516458
Wait nitakuletea picha vizuriHuu upuuzi hauendani na design![]()

Wao wanahangaika na reli huko wakati sie tulishahama hiyo stage,kazi Yao ni kufukuzia Mwizi tuu


Mjadala wa Barabara Lake zone watupishe Kwa Sasa hatuna mpinzani..
Wajameni namnagani hapa Kuna nini ya maana unaona hapo?sio View attachment 2517291 sio level za njombe sisi mnatukosea heshima
Tulia hivyo hivyo kuna km 54 dual carriage zinakuja soon.Mjadala wa Barabara Lake zone watupishe Kwa Sasa hatuna mpinzani..
Ukiacha hiyo lot 4 iliyotiwa saini Leo km 32 Kuna Tactic km 23,Kuna Za vyanzo vingine(Tamisemi,own Source,Wizara ya ujenzi) km 8.5 zote ndani ya Jiji la Mbeya.