Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Usijitoe akili, hii picha ya basi ni KahamaNaokota wapi Sasa mzee? Hujui kusoma vibao vya mabusi na hayo maelezo?
Wenzio wamekubali wewe bado unashupaa.Tanzania hapa hakuna route inayozidi mabasi kwa Idadi na ubora kushinda route ya Dar-Mbeya/Tunduma na Dar-Njombe/Songea..
Njombe na Superfeo![]()




