Mimi juzi amenishangaza sana huyo Chalamila...
Yaani mipango na master plan ya manispaa ya Bukoba kujenga stendi eneo la Kyakairabwa km 8 kutoka mjini kati ilikuwepo toka 2008..na watu walishanunua viwanja huko vya biashara..wengine walishaaza hata kujenga hadi vitega uchumi...kyakairabwa kuna hadi maghorofa siku hiz...na mbaya zaidi barabara ya lami zaidi ya 1.5km ya kuingia na kutoka ndani ya kutuo cha mabasi cha kyakairabwa ilishakamilika...halafu anakuja mwamba mmoja anasema waanza upya ujenzi mahali pengine...waangalie ni wap kuna magari mengi


ila tz tuna viongozi aisee...
Yasije kuwa kama yale ya ukurupukaji wa Morogoro eti wanajenga stendi ya daladala nje ya mji na sasa wameifunga wanatumia barabara moja mjini kama stendi...
Au yale ya mtwara soko la chuno
Tazama walipofikia ujenzi uliostopishwa na Dc kinawiro 2020 kisa upinzani watapata credit kwenye uchaguzi
View attachment 2422320