Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Naye anajitaiditaidi atafika tu level za matajiri wa mabasi kanda ya ziwa.
Acha utoto hakuna tajiri wa kumfikia Superfeo huko kwenu..

Tanzania anashindana na Abood,Mchina wa Newforce labda kidogo na Frester kwenye biashara ya kusafirisha abiria kwa mabasi..

Cheki vyuma hivi ametandaza Nchi nzima 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221120-110244.png
    Screenshot_20221120-110244.png
    212.3 KB · Views: 5
  • 20221120_125013.jpg
    20221120_125013.jpg
    124.6 KB · Views: 5
  • 20221120_125124.jpg
    20221120_125124.jpg
    89 KB · Views: 5
  • 20221120_125000.jpg
    20221120_125000.jpg
    211.6 KB · Views: 6
  • 20221120_125039.jpg
    20221120_125039.jpg
    518.3 KB · Views: 5
  • 20221120_124946.jpg
    20221120_124946.jpg
    112.1 KB · Views: 5
  • 20221120_110711.jpg
    20221120_110711.jpg
    381 KB · Views: 7
  • 20221120_110706.jpg
    20221120_110706.jpg
    496.1 KB · Views: 5
  • 20221120_110708.jpg
    20221120_110708.jpg
    478.9 KB · Views: 5
  • 20221120_095818.jpg
    20221120_095818.jpg
    216.8 KB · Views: 6
Acha utoto hakuna tajiri wa kumfikia Superfeo huko kwenu..

Tanzania anashindana na Abood,Mchina wa Newforce labda kidogo na Frester kwenye biashara ya kusafirisha abiria kwa mabasi..

Cheki vyuma hivi ametandaza Nchi nzima 👇
Hayo mayutong mchina ndio yanakufanya umwone tajiri wa mabasi😀😀😀😀😀
 
Matajiri wetu wa Kusini Kama Bw.Msigwa amewaonea huruma baada ya kuona mkihangaika na usafiri..

Amewaletea vyuma Bora kabisa ili mpgie na picha..Superfeo/Selous Express unqchagua rangi mwenyewe 🏃🏃🏃🏃..

Mwanza-Songea 👇
Mwanza Songea ni kwa ajili ya watu wa kusini na Nyanda za juu waliokuja kutafuta maisha kanda ya ziwa.
Hakuna mtu wa kanda ya ziwa anaenda huko kusini na Nyanda za juu
 
Mwanza Songea ni kwa ajili ya watu wa kusini na Nyanda za juu waliokuja kutafuta maisha kanda ya ziwa.
Hakuna mtu wa kanda ya ziwa anaenda huko kusini na Nyanda za juu
Sisi huwa tunaenda kutafuta pesa huko kwao na kujikita kwenye kilimo, then tukishavuna tunarejea kanda ya ziwa.
 
Nyie watu wa njombe nawapa miaka 10 kama mtakuja kupata stendi kama hiyo ya bukoba mjini kwa wakinanshomile waitu.
Mkuu hii ndio stendi kuu Njombe
 

Attachments

  • Screenshot_20221120-131651.png
    Screenshot_20221120-131651.png
    142.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221120-131625.png
    Screenshot_20221120-131625.png
    74.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221120-131704.png
    Screenshot_20221120-131704.png
    114.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221120-131658.png
    Screenshot_20221120-131658.png
    199.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221120-131750.png
    Screenshot_20221120-131750.png
    93.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221120-131744.png
    Screenshot_20221120-131744.png
    99.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20221120-131802.png
    Screenshot_20221120-131802.png
    109.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221120-131728.png
    Screenshot_20221120-131728.png
    103.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221120-131723.png
    Screenshot_20221120-131723.png
    135.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221120-131739.png
    Screenshot_20221120-131739.png
    150.6 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221120-131733.png
    Screenshot_20221120-131733.png
    102.5 KB · Views: 6
Mwanza Songea ni kwa ajili ya watu wa kusini na Nyanda za juu waliokuja kutafuta maisha kanda ya ziwa.
Hakuna mtu wa kanda ya ziwa anaenda huko kusini na Nyanda za juu
😂😂😂😂😂 Ona huyu mfugo .

Songea,Njombe mpakani na Ifakara,Malinyi,Mahenge Wasukuma wamejaa na mang'ombe Yao..

Juzi tuu hapo Tunduru Wasukuma walilisha shamba la mkulima afu wakamuua then wanakijiji wakajipanga wakaua Wasukuma 3..

Hakuna sehemu Wasukuma hawapo hapa Tanzania,uwe unatembea sio kushinda Buchosa hapo afu unatusumbua..
 
Umesoma maelezo yangu hapo Juu? Nimekwambia kabla ya Barabara kufunguka Mbeya na Mwanza vilikuwa sawa tuu ila gap limeanza baada ya Mkapa kufungua hiyo Road..

Kwa Nini isihusiane? Kwani hujui kwamba shughuli za biashara na Mikoa ziliimarishwa baada njia kufunguka?
Toka nizaliwe mwanza haijawahi kuwa sawa na mbeya,

Nashukuru umekiri barabara zilifungua kanda ya ziwa, hii ni kuonyesha shughuli za kiuchumi huku ziko juu.
Imagine Mbeya na Arusha pia Dom zilikuwa zinafikika kwa lami Toka dar kwa miaka mingi sana ila ndio hivyo tena.
Kanda ya Ziwa ingekuwa imeunganishwa kwa lami Toka zamani gape lingekuwa kubwa sana.
Sasa subiri sgr iishe, kumbuka Tactic pia inaenda kujenga stendi na masoko na barabara kwenye miji mingi ya kanda ya ziwa, baada ya hapo subiri gape.
 
Back
Top Bottom