Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

View attachment 2422189
Karibu mwanza Sunk Fallacy, nakupa hongera siku hizi matusi umeacha ndio ustaarabu huo.

Ila majuzi nilikuona umewavamia watu wa Arusha kwenye uzi wao walikutakana balaa😂😂😂
Siwezi kuishi kwenye Kanda hata siku Moja 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20211118-215300.png
    Screenshot_20211118-215300.png
    170.4 KB · Views: 9
Ila Raisi kwa nini kamuondoa Bashungwa Tamisemi?
Wanajua wenyew na CCM yao...may be aliona atampiga kete 2025...si unajua sasa hiv they don't care about Tanzania na maisha yao...wao wanatarget 2025...wapate urais, uwaziri mkuu nk...


Sisi watu weusi ni wabinafsi kweli kweli...hata huyo bashungwa kajenga stendi nzr ya mabasi jimboni kwake karagwe huko...wakati stendi ya Bukoba mji mkubwa zaidi kagera hauna stendi zaidi ya hiki kichochoro
Siasa in everything...

Manispaa kama Bukoba 2020 ingeshakuwa na stendi..lakin CCM wakapiga stop ujenzi wake eneo la kyakairabwa kisa ukamikishaji wake utawapa credit upinzani ukiokuwa unaongoza manispaa ya Bukoba....2020 ccm wamechukua jimbo lakin toka mwaka huo hadi sasa 2023 wanasubiri mradi w a tactic....
Na chalamila amekuja juzi ashaanza kurudisha migogoro tena hapo Bukoba ya mahali pa ujenzi wa stendi...so zile hela zilizojenga ya kyakairabwa zitapotea bure...


Ni hayo tu ndo Maana Bukoba hakunaga stendi hadi leo...imagine stendi ya Bukoba inazidiwa na bariadi, korogwe, singida na miji mingine midogo midogo...
 
Wanajua wenyew na CCM yao...may be aliona atampiga kete 2025...si unajua sasa hiv they don't care about Tanzania na maisha yao...wao wanatarget 2025...wapate urais, uwaziri mkuu nk...


Sisi watu weusi ni wabinafsi kweli kweli...hata huyo bashungwa kajenga stendi nzr ya mabasi jimboni kwake karagwe huko...wakati stendi ya Bukoba mji mkubwa zaidi kagera hauna stendi zaidi ya hiki kichochoro
Siasa in everything...

Manispaa kama Bukoba 2020 ingeshakuwa na stendi..lakin CCM wakapiga stop ujenzi wake eneo la kyakairabwa kisa ukamikishaji wake utawapa credit upinzani ukiokuwa unaongoza manispaa ya Bukoba....2020 ccm wamechukua jimbo lakin toka mwaka huo hadi sasa 2023 wanasubiri mradi w a tactic....
Na chalamila amekuja juzi ashaanza kurudisha migogoro tena hapo Bukoba ya mahali pa ujenzi wa stendi...so zile hela zilizojenga ya kyakairabwa zitapotea bure...


Ni hayo tu ndo Maana Bukoba hakunaga stendi hadi leo...imagine stendi ya Bukoba inazidiwa na bariadi, korogwe, singida na miji mingine midogo midogo...
Endeleeni kuwa na subra mkuu stendi itajengwa ata sisi mwanza pale nyegezi bila magufuli ata korogwe wangekuwa na stendi bora kuliko mwanza.
 
Na hii Ni luxury si ndio? .

Uwanja hauna hata taa Wala muongoza ndege,makelele unayopigaga Sasa utafikiri Ni uwanja wa OR Tambo
Lakin ni hata kama uwanja una changamoto zake...

Lakin ulikuwa moja ya best airports nchini...

Nyie huko kusini yote..kuna Airport ya maana ukiondoa songwe...ambayo nayo haina Terminal nzr kama Bukoba...

Ndo maana nasema kila kinachofanyika Bukoba huwa ni luxury....


Subiri na hiyo stendi mpya itakapokamilika...
images%20(1).jpg
images%20(2).jpg
images%20(4).jpg
images%20(3).jpg
images.jpg
images%20(5).jpg
 
Wanajua wenyew na CCM yao...may be aliona atampiga kete 2025...si unajua sasa hiv they don't care about Tanzania na maisha yao...wao wanatarget 2025...wapate urais, uwaziri mkuu nk...


Sisi watu weusi ni wabinafsi kweli kweli...hata huyo bashungwa kajenga stendi nzr ya mabasi jimboni kwake karagwe huko...wakati stendi ya Bukoba mji mkubwa zaidi kagera hauna stendi zaidi ya hiki kichochoro
Siasa in everything...

Manispaa kama Bukoba 2020 ingeshakuwa na stendi..lakin CCM wakapiga stop ujenzi wake eneo la kyakairabwa kisa ukamikishaji wake utawapa credit upinzani ukiokuwa unaongoza manispaa ya Bukoba....2020 ccm wamechukua jimbo lakin toka mwaka huo hadi sasa 2023 wanasubiri mradi w a tactic....
Na chalamila amekuja juzi ashaanza kurudisha migogoro tena hapo Bukoba ya mahali pa ujenzi wa stendi...so zile hela zilizojenga ya kyakairabwa zitapotea bure...


Ni hayo tu ndo Maana Bukoba hakunaga stendi hadi leo...imagine stendi ya Bukoba inazidiwa na bariadi, korogwe, singida na miji mingine midogo midogo...
Basi kama ni Hivyo itakuwa hawa wakuu wa mikoa wako kimkakati zaidi, maana hata yule mza kaja kavuruga mambo ya Airport balaa, anajiita financial adviser
 
Endeleeni kuwa na subra mkuu stendi itajengwa ata sisi mwanza pale nyegezi bila magufuli ata korogwe wangekuwa na stendi bora kuliko mwanza.
Yap hata ramani ya stendi ya Bukoba itakayoanza kujengwa rasmi march iko poa sana..

Itakuwa among the best bus stands Tz...
images%20(6).jpg
images%20(7).jpg
images%20(8).jpg
images%20(10).jpg
images%20(11).jpg
 
Hyo stendi Kwa bajeti ya pesa ya tactics,,,,haiwezi kuwa hvyo
Nami nimejiuliza coz huo mchoro ni wa siku nyingi sana ata kabla ya mradi wa tactic haujaanza, kingine render bado hazijatoka na tender hazijatangazwa, labda kama watajenga kwa hawamu na kwa mchoro huo si chini ya billion 30.
 
Basi kama ni Hivyo itakuwa hawa wakuu wa mikoa wako kimkakati zaidi, maana hata yule mza kaja kavuruga mambo ya Airport balaa, anajiita financial adviser
Mimi juzi amenishangaza sana huyo Chalamila...

Yaani mipango na master plan ya manispaa ya Bukoba kujenga stendi eneo la Kyakairabwa km 8 kutoka mjini kati ilikuwepo toka 2008..na watu walishanunua viwanja huko vya biashara..wengine walishaaza hata kujenga hadi vitega uchumi...kyakairabwa kuna hadi maghorofa siku hiz...na mbaya zaidi barabara ya lami zaidi ya 1.5km ya kuingia na kutoka ndani ya kutuo cha mabasi cha kyakairabwa ilishakamilika...halafu anakuja mwamba mmoja anasema waanza upya ujenzi mahali pengine...waangalie ni wap kuna magari mengi ila tz tuna viongozi aisee...

Yasije kuwa kama yale ya ukurupukaji wa Morogoro eti wanajenga stendi ya daladala nje ya mji na sasa wameifunga wanatumia barabara moja mjini kama stendi...

Au yale ya mtwara soko la chuno



Tazama walipofikia ujenzi uliostopishwa na Dc kinawiro 2020 kisa upinzani watapata credit kwenye uchaguzi
Screenshot_20221120-170730.jpg
 
Yap hata ramani ya stendi ya Bukoba itakayoanza kujengwa rasmi march iko poa sana..

Itakuwa among the best bus stands Tz...View attachment 2422306View attachment 2422307View attachment 2422308View attachment 2422309View attachment 2422310
Nina wasiwasi na hii michoro, nimeiona hii miaka kama 5 huko nyuma, sidhani kama serikali itakuwa imepitisha hii.
Ila stendi inahitajika, kanda ya ziwa itakuwa na stendi nzuri nyingi, kahama na shy wanajenga pia, Simiyu na mwanza tayari, sijajua mara, ila kama na Mara wanajenga basi stendi kuu zote za kanda ya ziwa zitakuwa za kisasa by 2030.

Vilevile tutakuwa na airport 5
Mwanza, Bukoba, Chato, Shinyanga, na Mara.
Usafiri wa ziwani utaimarika kwa kiasi fulani.
Usafiri wa reli pia utakuwa mzuri
 
Back
Top Bottom