Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Kwa kuongeza tu adi stendi zinakosa nafasi ya mabasi kupark kama vile stendi ya nyamhongolo ilivyojaa na muda mwingine hakuna nafasi kabisa.Humu hakuna wapiga debe wa stand wengine zaidi yako, ndio maana kwenye mabasi hatukujibu. Simple tu, kanda haiwezi kuwa na miji zina stand zaidi ya mbili na zikose bus classic, hiyo ni dalili kanda ina huduma za mabasi nyingi na nzuri, Ukija kwenye usafiri wa abiria hakuna kanda makampuni makubwa yanafanya biashara kama Lake zone.