Asaa kwani Njombe ina nn kuzidi Katoro Hosp au Ofisi za mkoa?
Toka tumeanza Uzi nilikwambia leta jengo la ghorofa 4 umeshindwa unakuja kulia lia na takataka hapa..
Njombe imepiga Kahama in and out,ina majengo zaidi ya 10 ya ghorofa kuanzia 5 na kuendelea Kahama haina..
Ina hospital ya Rufaa ya wiwango,Kahama ina kahospital uchwara,
Ina lami za mjini na mpangilio mzuri jijini,Kahama imejaa mavumbi tupu,
Ina viwanda kama vyote,
Ina stand kali Kahama ni zizi mnaita stand,
Ina soko la kali nyie bado mnauzia.minadani na kwenye mitaro ya barabara,
Haina Uswazi,Kahama imejaa maskini na uswazi,
Ina mandhari nzuri Sana ya kuvutia,Kahama iko disorganized utafikiri malisho ya ng'ombe,
Leta video ya Kahama tuone,Njombe hii hapa 👇