Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Hapa Tanzania hakuna uwanja wa ndege wenye runway ndefu kuzidi uwanja wa ndege wa Mwanza wenye 3.8km kizidi ata JNIA, kaa kwa kutulia mkulungwa Huyo huwanja upande wa runway hauna mashindani labda majengo tu ya abiria ndio tia maji tia maji.Umeshindwa kuleta data,naomba data zinazoonesha Mwanza airport Ina runway ya zaidi ya mita 3300 ndio tuendelee na mengine,kama huna shut up your mouth Songwe sio level ya Mwanza.




