Ukiona Daudi na Goliati wanawekwa kwenye mizania sawa basi ujue Goliati kisha chujuka. Njombe ni mkoa, Kahamani makao makuu ya mkoa wa Shinyanga wakati Mafinga ni makao makuu ya wilaya ya Mufindi. Kwa mantiki hii Mafinga unakua kwa kasi na huo ndiyo ukweli. Mji wa Iringa ulianzishwa mwaka 1892 na Wajerumani kama strategic point ya kutwangana na Wahehe. Mahala ulipo mji huu hauwezi kupanuka kwa sababu za kijiografia.




aliyekuambia kahama ni makao makuu ya shinyanga naniWivu tu ...kiboko ya mbeya ni hiiNimekwambia international agricultural exhibition inakuja,wewe unaleta maonyesho ya wavuvi na dagaa![]()
![]()


.. soon tutaendelea kuona wambunge wenu wananunua viwanja mji Mpya huku ..na wewe unakaribishwa kununua japo huna hela hizo 



Wew si unapendaga screenshot...Labda udsm ya katerero![]()
Sasa chuo Kikuu Huko Kijijini si itakuwa ni shida?Wew si unapendaga screenshot...View attachment 2336129
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huu uzushi wa chadomo wahusika walikanusha..Wivu tu ...kiboko ya mbeya ni hii.. soon tutaendelea kuona wambunge wenu wananunua viwanja mji Mpya huku ..na wewe unakaribishwa kununua japo huna hela hizo
View attachment 2336121
Labda Job ndugayo ila Tulia kamwe hawezi,huu ni uzushi wa chadomo na sukuma gangHata spika wa bunge ,,anaenda kustaafia mwanza ......,,,hataki kupigwa vumbi la hapo iyunga .Iwambi..walionunua viwanja mji mpya isamiloView attachment 2336116
Excuses as usual 😁😁Ukiona Daudi na Goliati wanawekwa kwenye mizania sawa basi ujue Goliati kisha chujuka. Njombe ni mkoa, Kahamani makao makuu ya mkoa wa Shinyanga wakati Mafinga ni makao makuu ya wilaya ya Mufindi. Kwa mantiki hii Mafinga unakua kwa kasi na huo ndiyo ukweli. Mji wa Iringa ulianzishwa mwaka 1892 na Wajerumani kama strategic point ya kutwangana na Wahehe. Mahala ulipo mji huu hauwezi kupanuka kwa sababu za kijiografia.
Haya Kwa hapa Nini kimebaki??Huu uzushi wa chadomo wahusika walikanusha..
Kwanza kuwa na Kiwanja kila sehemu siko issue.
Haya Kwa hapa Nini kimebaki??
Mbeya
Leta sasa wewe. Archana na kudandia dandia vimikoa kama mdangajiHiyo video imeonyesha part of Old and New CBD.
Bado Sana sijaona meta,sijaona stand kuu Kule kwenye ghorofa la kwanza kuwa na lift Mbeya,sijaona kuanzia pale Kabwe all the way Hadi Nane nane maana hiyo njia yote ujenzi inaendelea Kwa Kasi..
On top of that sijaona kuanzia Tazara hadi Iwambi hayo yote ni maeneo yako busy Sana,sijaona Isyesye nk,Mbeya ni kubwa Sana wewe usijisumbue..
Kama chadema ndo mhuri wa jiji...endelea kuwa jinga sasaHuu uzushi wa chadomo wahusika walikanusha..
Kwanza kuwa na Kiwanja kila sehemu siko issue.
Labda Job ndugayo ila Tulia kamwe hawezi,huu ni uzushi wa chadomo na sukuma gang


maji utayaita mma mwaka huu ....endelea kuamin politicalKwenye hiyo video nionyeshe hayaajengo hapa na yote yapo mjini 👇Leta sasa wewe. Archana na kudandia dandia vimikoa kama mdangaji
We kijana ni mbishi sana....Sasa chuo Kikuu Huko Kijijini si itakuwa ni shida?
Ukute ni tawi la UCC ya mlimani![]()
Haya mambo unayopost yanapatika muleba huko vijijini wala sio mjini..na kuna mandhari nzr kuliko hii yako ya vumbi..Kiboko ya Bukoba ni Sumbawanga,Libori Center![]()
Kwenye hiyo video nionyeshe hayaajengo hapa na yote yapo mjini![]()




Hiyo ilikuwa miaka zaidi ya 10 iliyopita..Ulitaka tusijisifie wakati ndio kwanza tulipata lift ya kwanza? Na pia hilo ndio lilikiwa jengo la kwanza kwa Mbeya kuwa na 6 floors.
Lol naona mnajisifia kuwa na lift ya kwanza...
Hilo ni jiji au nini
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app