Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hata spika wa bunge ,,anaenda kustaafia mwanza ......,,,hataki kupigwa vumbi la hapo iyunga .Iwambi..walionunua viwanja mji mpya isamilo
JamiiForums-1330069066.jpg
 
Ukiona Daudi na Goliati wanawekwa kwenye mizania sawa basi ujue Goliati kisha chujuka. Njombe ni mkoa, Kahamani makao makuu ya mkoa wa Shinyanga wakati Mafinga ni makao makuu ya wilaya ya Mufindi. Kwa mantiki hii Mafinga unakua kwa kasi na huo ndiyo ukweli. Mji wa Iringa ulianzishwa mwaka 1892 na Wajerumani kama strategic point ya kutwangana na Wahehe. Mahala ulipo mji huu hauwezi kupanuka kwa sababu za kijiografia.
aliyekuambia kahama ni makao makuu ya shinyanga nani
 
Nimekwambia international agricultural exhibition inakuja,wewe unaleta maonyesho ya wavuvi na dagaa
Wivu tu ...kiboko ya mbeya ni hii .. soon tutaendelea kuona wambunge wenu wananunua viwanja mji Mpya huku ..na wewe unakaribishwa kununua japo huna hela hizo
20220827_102147.jpg
 
Ukiona Daudi na Goliati wanawekwa kwenye mizania sawa basi ujue Goliati kisha chujuka. Njombe ni mkoa, Kahamani makao makuu ya mkoa wa Shinyanga wakati Mafinga ni makao makuu ya wilaya ya Mufindi. Kwa mantiki hii Mafinga unakua kwa kasi na huo ndiyo ukweli. Mji wa Iringa ulianzishwa mwaka 1892 na Wajerumani kama strategic point ya kutwangana na Wahehe. Mahala ulipo mji huu hauwezi kupanuka kwa sababu za kijiografia.
Excuses as usual 😁😁
 
Kiboko ya Bukoba ni Sumbawanga,Libori Center 👇
 

Attachments

  • IMG_20220827_104802_575.jpg
    IMG_20220827_104802_575.jpg
    900.3 KB · Views: 9
  • IMG_20220826_131720_678.jpg
    IMG_20220826_131720_678.jpg
    771.6 KB · Views: 8
More PCs of Sumbawanga 👇
 

Attachments

  • IMG_20220827_105057_853.jpg
    IMG_20220827_105057_853.jpg
    1.5 MB · Views: 7
  • IMG_20220827_105045_170.jpg
    IMG_20220827_105045_170.jpg
    1.5 MB · Views: 8
  • IMG_20220827_105136_934.jpg
    IMG_20220827_105136_934.jpg
    860.8 KB · Views: 8
  • IMG_20220827_105156_268.jpg
    IMG_20220827_105156_268.jpg
    934.2 KB · Views: 9
Haya Kwa hapa Nini kimebaki??


Mbeya


Hiyo video imeonyesha part of Old and New CBD.

Bado Sana sijaona meta,sijaona stand kuu Kule kwenye ghorofa la kwanza kuwa na lift Mbeya,sijaona kuanzia pale Kabwe all the way Hadi Nane nane maana hiyo njia yote ujenzi inaendelea Kwa Kasi..

On top of that sijaona kuanzia Tazara hadi Iwambi hayo yote ni maeneo yako busy Sana,sijaona Isyesye nk,Mbeya ni kubwa Sana wewe usijisumbue..
 
Hiyo video imeonyesha part of Old and New CBD.

Bado Sana sijaona meta,sijaona stand kuu Kule kwenye ghorofa la kwanza kuwa na lift Mbeya,sijaona kuanzia pale Kabwe all the way Hadi Nane nane maana hiyo njia yote ujenzi inaendelea Kwa Kasi..

On top of that sijaona kuanzia Tazara hadi Iwambi hayo yote ni maeneo yako busy Sana,sijaona Isyesye nk,Mbeya ni kubwa Sana wewe usijisumbue..
Leta sasa wewe. Archana na kudandia dandia vimikoa kama mdangaji
 
Leta sasa wewe. Archana na kudandia dandia vimikoa kama mdangaji
Kwenye hiyo video nionyeshe hayaajengo hapa na yote yapo mjini 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220827-114128.png
    Screenshot_20220827-114128.png
    138.8 KB · Views: 8
  • 20220805_191713.jpg
    20220805_191713.jpg
    87.4 KB · Views: 8
  • 20220805_190820.jpg
    20220805_190820.jpg
    259 KB · Views: 7
  • IMG_20211222_093034_617.jpg
    IMG_20211222_093034_617.jpg
    1.1 MB · Views: 7
Sasa chuo Kikuu Huko Kijijini si itakuwa ni shida?

Ukute ni tawi la UCC ya mlimani
We kijana ni mbishi sana....

Hapo kunapojengwa chuo kikuu sio mbali na Bukoba mjini ni km kama 5...

Can't wait kuone mji wa Bukoba unapanuka kila sehemu...

Imagine Kasikazini mwa mji wa Bukoba kuna chuo cha veta kikubwa zaidi Tanzania..kimejengwa na wachina..Na huko pia kuna chuo kikuu cha JOCUCO tawi la chuo cha tumaini....


Mashariki kuna Bandari ya Bukoba ambayo nayo imepanuliwa ikisuburi meli ya Mv mwanza na sasa kuna mv Victoria,nyakibolwa nk zinafanya kazi...bado mashariki hiyo hiyo kuna uwanja wa ndege wa bukoba ambao nao unawekewa Taa ilo ndege zianze kutua usiku...

Magharibi mwa mji wa bukoba kuna ujenzi wa stendi ya mkoa kyakairabwa na huko ndo kumekucha sasa maana kuna mji mpya wa Rwamishenye unaokua kwa kasi..

Kusini mwa mji wa Bukoba ndo kuna ujenzi wa chuo kikuu UDSM na bado kuna Tawi la Chuo kikuu cha Sauti CARUMCO na sasa kunajengwa maegesho makubwa sana ya maroli...


Hio Bukoba achaneni nayo tu...mji una future kali sana..

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 

Lol naona mnajisifia kuwa na lift ya kwanza...

Hilo ni jiji au nini

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hiyo ilikuwa miaka zaidi ya 10 iliyopita..Ulitaka tusijisifie wakati ndio kwanza tulipata lift ya kwanza? Na pia hilo ndio lilikiwa jengo la kwanza kwa Mbeya kuwa na 6 floors.

Hao ndio walifungulia ujenzi wa majengo marefu Mbeya Kwa sasa sio habari tena.
 
Back
Top Bottom