Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Unatia aibu,Fikeni hapa kwanza ndio uje tujadili
Mbeya fikeni hapa kwanza ndo mje mshindane na ilemela
20220812_233951.jpg
 
Yani kwa idadi ya magari TAZAM road inaongoza na kwa Sasa ndo yameongezeka zaidi na yameleta fursa mpya ambayo imepelekea watu kuwekeza zaidi kwenye shell. Na hotel anzia ruaha mbuyuni iringa Hadi tunduma angalia sheli ngap zinajengwa na makaz yameungana watu wametumia fursa
FB_IMG_16528570172110343.jpg
FB_IMG_16562245762861168.jpg
IMG_20220116_160927.jpg
IMG_20211012_164821.jpg
IMG_20210608_110509.jpg
 
Hakika ukiiangalia hiyo video ya mbeya yetu, utakuja kuona aliyeipa mbeya hadhi ya jiji alikuwa amenyeshwa ulanzi, jiji halina tofauti na halmashauri ya nzega.
Inaonekana Mbeya soon itapitwa na Dodoma. Mbeya siyo Jiji kwa kweli😁😁
 
Kuna watu hata hawatembei yupo anaangalia tu sehemu alipo tu huwezi ukaanza kulingana katoro et na halmashauri kamili katoro kwa njombe Ni sawa na vimiji vya ilembula,mtwango ,igwachanya na ikonda hao ndo level zao
Asaa kwani Njombe ina nn kuzidi Katoro Hosp au Ofisi za mkoa?
 
Back
Top Bottom