Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Nane nane ni maonyesho ya kimataifaSie tutakuwa tuna host maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Kilimo sio hayo ya magulio ya wauza dagaa![]()











Nane nane ni maonyesho ya kimataifaSie tutakuwa tuna host maonyesho makubwa ya Kimataifa ya Kilimo sio hayo ya magulio ya wauza dagaa![]()











Sasa hyo na nini sasa ...dah aibu tupuUnatia aibu,Fikeni hapa kwanza ndio uje tujadili![]()
Mbeya fikeni hapa kwanza ndo mje mshindane na ilemelaUnatia aibu,Fikeni hapa kwanza ndio uje tujadili![]()
Uwe unasoma na kuelewa 👇Nane nane ni maonyesho ya kimataifa![]()
Tafuta Tanzania nzima hupati haya mandhari 👇huoni haya
Kule wenzenu walikotoka ndio mwaelekea ..Uwe unasoma na kuelewa![]()
Tanzania..majiji yenye mandhari ni matatu tu .. mwanza, Arusha,na dar ...Tafuta Tanzania nzima hupati haya mandhari![]()



Hata UDSM wanajenga tawi lao huko Bukoba vijijini karibu na mji wa Bukoba...Mambo sasa Ni hukuView attachment 2335807
Sio mji mzuri kivileee, na term hii mapato mtashindana na Ilemela manispaaTanzania hakuna Jiji tamu kama Mbeya ,hayo mengine ni wivu.
Asaa Hivi vijumba 🤣🤣🤣, yaani kiboko ya CBD ya Mbeya ni BuzurugaWeka picha za hapo Buzuruga pako acha porojo..
Baadhi ya Nyumba za Makazi Jijini Mbeya,Kwa Kahama hizi ni hoteli 😬😬 👇
Hili jengo ni sawa na Buzuruga plaza na bado Buzuruga commercial complex inakuja utalia na kusaga menoUnatia aibu,Fikeni hapa kwanza ndio uje tujadili 👇
Kirumba International Market soon ujenzi unaanzaNane nane ni maonyesho ya kimataifa![]()
Inaonekana Mbeya soon itapitwa na Dodoma. Mbeya siyo Jiji kwa kweli😁😁Hakika ukiiangalia hiyo video ya mbeya yetu, utakuja kuona aliyeipa mbeya hadhi ya jiji alikuwa amenyeshwa ulanzi, jiji halina tofauti na halmashauri ya nzega.
Watafika lini asaa wakati mwendo wa jiji Lao ni sawa na kinyongaMbeya fikeni hapa kwanza ndo mje mshindane na ilemela View attachment 2335844
Hahahahh! Asaa ap0 kuna nini cha ziada, nimeona mashimo na madimbwi ya kuzalia mbuTafuta Tanzania nzima hupati haya mandhari 👇
Huu mji ni 💥💥Tanzania..majiji yenye mandhari ni matatu tu .. mwanza, Arusha,na dar ...
View attachment 2335857View attachment 2335858View attachment 2335860View attachment 2335861View attachment 2335862View attachment 2335864View attachment 2335865View attachment 2335866View attachment 2335867View attachment 2335869View attachment 2335870View attachment 2335871
Asaa kwani Njombe ina nn kuzidi Katoro Hosp au Ofisi za mkoa?Kuna watu hata hawatembei yupo anaangalia tu sehemu alipo tu huwezi ukaanza kulingana katoro et na halmashauri kamili katoro kwa njombe Ni sawa na vimiji vya ilembula,mtwango ,igwachanya na ikonda hao ndo level zao