Unajikosha tuu hapa kwa wivu,kwanza hiyo video ni ya long Wala haija cover Mbeya bali imepigwa hapo Mwanjelwa hadi hapo junction ya Mafiat tuu..
Kama unaona mwisho wa Mji nionyeshe Meta ilipo na unionyeshe forest au Uyole au Uhindini..
Mbeya sio kama tumijo uchwa ulitotutaja hapo twa Morogoro,Iringa na huo uchafu wa Kahama kwamba imerundikana eneo moja.
Jumlisha hao wote Kwa pamoja ndio unaweza pata Mbeya moja..
Kahama ligi yenu ni Njombe,huko kwa Mbeya ni mbali Sana..Ukikuta jengo kama hili hapa Kahama nzima hadi Bukoba nahama jukwaa