ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Hajui ninyi ni watani wa jadi
Wahehe na Wabena tunapatana sana mkuu, vipi kutushambulia Wabena kihivyo
Wahehe na Wabena tunapatana sana mkuu, vipi kutushambulia Wabena kihivyo
Lami gani aisee iliyopo Kahama?Acha mahaba kijana!!Njombe haiwezi kuikuta Kahama hata siku moja, wananjombe acheni utani Njombe bado sana, Njombe pale hapajulikani hata mjini ni wapi, kahama toka 2000s lami za kutosha, Njombe leo ndio wanaanza kuweka lami, njombe ni kijijini
picha pleaseKuilinganisha Kahama na Njombe ni kuidhalilisha Kahama,
hii ilisababishwa na upigwaji wa nondo. Watu wakaamua utaratibu uwe hivyo,Njombe saa 2 usiku watu wote wameshajifungia ndani mji gani huo
asee we upo dunia ya ngapi? Kahama ishapigwa chini kitambo mbona.pitia comments za mwanzo uone mijengo ya njombe, harafu ulinganishe na vijengo viwili vya kahama.Njombe haiwezi kuikuta Kahama hata siku moja, wananjombe acheni utani Njombe bado sana, Njombe pale hapajulikani hata mjini ni wapi, kahama toka 2000s lami za kutosha, Njombe leo ndio wanaanza kuweka lami, njombe ni kijijini
NimeshangaaHajui ninyi ni watani wa jadi
Karibuni kwenye mada
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga
Je ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwinzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Siku hizi kuna Basi Njombe to MlimbaAsanteni kwa maelezo haya nilikuwa naumiza akili kwamba napitaje kutoka Ifakara mpaka Lupembe, nimepata majibu
Miji yote yenye migodi lazima umasikini ushamiriKAHAMA: kuna migodi midogo midogo mingi yenye mzunguko wa pesa kila siku:
Singida n tabora maskini tu kwa khmUsijisumbue kuweka za Kahama maana hamna lolote la maana ila wenzenu Njombe iko kwenye mradi wa benki ya dunia wa kuboresha miundombinu ya miji wameanza na stendi zinafuata barabara itanoga kama singida,swax,tabora,bahati nk ko kuwa mpole na mwaka huu barabara ya Makambako songea inajengwa upya
Kwasababu ni misitu mingi wanatega biashara ya utaliiiWewe manamba kumzidi mtu kimo sio kumzidi akili
Pili gawanya hicho mlichozalisha kwa idadi yenu afu jibu lake ndio sababu kwa nini nyie ni maskini kuliko Njombe
Unadhani kama mna pesa kwa Nini investors hawajengi hoteli za maana huko Kahama instead wanajenga Njombe? Jibu ni kwamba you are poor no money
Geita gold mining ndio kampuni inaongoza kwa ulipaj kodi tz zaidi ta trillion moj kil mwakaNjombe inakusanya mapato mengi sana yatokanayo na TRA kuliko kule Kahama jangwani