Kahama VS Njombe/Mafinga

Njombe haiwezi kuikuta Kahama hata siku moja, wananjombe acheni utani Njombe bado sana, Njombe pale hapajulikani hata mjini ni wapi, kahama toka 2000s lami za kutosha, Njombe leo ndio wanaanza kuweka lami, njombe ni kijijini
 
Njombe haiwezi kuikuta Kahama hata siku moja, wananjombe acheni utani Njombe bado sana, Njombe pale hapajulikani hata mjini ni wapi, kahama toka 2000s lami za kutosha, Njombe leo ndio wanaanza kuweka lami, njombe ni kijijini
Lami gani aisee iliyopo Kahama?Acha mahaba kijana!!
 
Njombe hii bila uchawi huwezi kupata pesa, ukitaka pesa mpaka uende kwa Mwakipande ndio yakufananisha na kahama? acheni ujinga
 
Actions matters than words, kahama leteni picha, maana mwanzo mlichemka mkatumiksia na za mza. Lete picha apa
 
Njombe haiwezi kuikuta Kahama hata siku moja, wananjombe acheni utani Njombe bado sana, Njombe pale hapajulikani hata mjini ni wapi, kahama toka 2000s lami za kutosha, Njombe leo ndio wanaanza kuweka lami, njombe ni kijijini
asee we upo dunia ya ngapi? Kahama ishapigwa chini kitambo mbona.pitia comments za mwanzo uone mijengo ya njombe, harafu ulinganishe na vijengo viwili vya kahama.
 
saa saa 2 usiku kahama ndio kumekucha watu kama wote mjini, njombe ndio wanaenda kulala, kahama kuna watu mara 5 ya njombe
 
Usijisumbue kuweka za Kahama maana hamna lolote la maana ila wenzenu Njombe iko kwenye mradi wa benki ya dunia wa kuboresha miundombinu ya miji wameanza na stendi zinafuata barabara itanoga kama singida,swax,tabora,bahati nk ko kuwa mpole na mwaka huu barabara ya Makambako songea inajengwa upya
Singida n tabora maskini tu kwa khm
 
Wewe manamba kumzidi mtu kimo sio kumzidi akili
Pili gawanya hicho mlichozalisha kwa idadi yenu afu jibu lake ndio sababu kwa nini nyie ni maskini kuliko Njombe
Unadhani kama mna pesa kwa Nini investors hawajengi hoteli za maana huko Kahama instead wanajenga Njombe? Jibu ni kwamba you are poor no money
Kwasababu ni misitu mingi wanatega biashara ya utaliii
 
Back
Top Bottom