The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Iringa Town-Nyanda za Juu kusini
Yote kwa pamoja, Kahama ilianza kuchangamka kitambo sana sababu ya dhahabu, Njombe imeanza kufunguka hivi juzi juzi tu baada ya miundombinu ya barabara kuboreshwa....Halafu Njombe wageni wachache sababu ya ushirikina, kibiashara njombe ni pagumu sana kwa wageni kufanikiwa,, Ndio maana wamejaa wenyeji tu wabena na wakinga...Kahama wageni wengi sana na ndio hao wanaoleta maendeleoJe Kahama ni Mji mzuri au Mji mkubwa?
Kahama ina uzuri 🤣🤣,hata hoteli hamnaYote kwa pamoja, Kahama ilianza kuchangamka kitambo sana sababu ya dhahabu, Njombe imeanza kufunguka hivi juzi juzi tu baada ya miundombinu ya barabara kuboreshwa....Halafu Njombe wageni wachache sababu ya ushirikina, kibiashara njombe ni pagumu sana kwa wageni kufanikiwa,, Ndio maana wamejaa wenyeji tu wabena na wakinga...Kahama wageni wengi sana na ndio hao wanaoleta maendeleo
Sijui kama umewahi kufika Kahama, Njombe ni kwetu huko nakujua vizuri ,,,,,Yaani hivyo vihoteli viwili Agriment na FM ndio ufananishe na Kahama?Kahama ina uzuri 🤣🤣,hata hoteli hamna
Njombe bado pako nyuma..... Njombe saa mbili usiku watu mjini hakuna wameenda kulala...Kahama hakuna kulala mpaka asubuhiKahama ina uzuri 🤣🤣,hata hoteli hamna
Hayo maneno wenzio walianza nayo,leta hoteli za Kahama iliyoendelea tulinganishe na Njombe iliyonyuma 😬😬Njombe bado pako nyuma..... Njombe saa mbili usiku watu mjini hakuna wameenda kulala...Kahama hakuna kulala mpaka asubuhi
Maneno ya nini? Wela Hotel za Kahama za kulinganisha na hivyo ulivyoita vihotel 2Sijui kama umewahi kufika Kahama, Njombe ni kwetu huko nakujua vizuri ,,,,,Yaani hivyo vihoteli viwili Agriment na FM ndio ufananishe na Kahama?
View attachment 2104026
Wafanyabiashara makambako waliambiwa habari za kupisha ujenzi wa soko kubwa ukanda wa nyanda za juu kusini ambalo soon linaanza kujeView attachment 2104028
Mama samia jana alimwambia mkuu wa mkoa mpya wa njombe aende akapambane na utapiamlo kwenye huo mkoa kwani unaongoza Tanzania nzima ingawa wanalima mazao ya chakula.Kuweni serious basi hata kwa wiki moja tu
Mama samia jana alimwambia mkuu wa mkoa mpya wa njombe aende akapambane na utapiamlo kwenye huo mkoa kwani unaongoza Tanzania nzima ingawa wanalima mazao ya chakula.
Acheni wiziHivi Ni viwanda vinavyo deal na mambo ya hardware. Vinatanuliwa Kila siku product zinazidi kuongezeka vipo ndani ya mji was makambako mkoani njombe
View attachment 2154773
Baada ya kugundua kuwa ulilenga kutangaza biashara ya hotel kupitia jukwaa hili, mwerevu sina nia ya kuenfelea na shauriWapi picha za Kahama wewe nyumbu wa huko
Hiyo Ni hali ya kawaida ukiona mji wako hauna vitendo hivyo ujue mji huo umelala sanaAcheni wiziView attachment 2154868
Mji gani unaosemea Kahama hii au Nanyumbu?????Hiyo Ni hali ya kawaida ukiona mji wako hauna vitendo hivyo ujue mji huo umelala sana