Kimemeta
Senior Member
- Dec 27, 2017
- 181
- 234
Hizi ni TC Kahama haipo huku,tafuta table ya Manicipals utaiona Kahama
Hizi ni TC Kahama haipo huku,tafuta table ya Manicipals utaiona Kahama
Viwanda havinaga impacts kubwa Sana kwenye Halmashauri labda TRA huko,kwa mfano usitegemee parachichi ikichajiwa ushuru kutoka Shambani itakuja tena kuchajiwa hapo na Halmashauri bali TRA kwa value addition.Soon mapato yataongezeka sana viwanda vingi vya kuchakata parachichi na singbord ndo vimeanza kazi mwezi wa Kwanza ko tarajia kuona ongezeko kubwa la kimapato ko parachichi zote za mkoa wa njombe na wilaya ya mufindi zinaenda makambako ndo centre vvilipojengwaa
Singboard au ceilingboard?Soon mapato yataongezeka sana viwanda vingi vya kuchakata parachichi na singbord ndo vimeanza kazi mwezi wa Kwanza ko tarajia kuona ongezeko kubwa la kimapato ko parachichi zote za mkoa wa njombe na wilaya ya mufindi zinaenda makambako ndo centre vvilipojengwaa
Uzur umeelewaSingboard au ceilingboard?
Na wewe umeelimikaUzur umeelewa
Ila Makambako mnatuaibisha Sana yaani Mji mzima mnakusanya vimapato kiduchu kama Ludewa DC?
Mapato yataongezekaa tuu makambako s Ina eneo dogoo kwaiyoo inahitaji miradi ka viwanda na masoko makubwa kwaajili ya biashara ivyo vikikaa sawa mapato yataongezekaa kwasababu population nayoo inakua kwa kasiSoon mapato yataongezeka sana viwanda vingi vya kuchakata parachichi na singbord ndo vimeanza kazi mwezi wa Kwanza ko tarajia kuona ongezeko kubwa la kimapato ko parachichi zote za mkoa wa njombe na wilaya ya mufindi zinaenda makambako ndo centre vvilipojengwaa
Hao wafanyabiashara watatoka wapi tofauti na waliopo sasa? Unahamisha sehemu y kuwapeleka sehemu x..Inategemea na eneo litakalojengwaa ka likijengwa katikati ya mjii litakuwa na manufaa zaidi ka la makambako ni pale pale mjini kwaiyoo hata likikamilikaa litakua na wafanyabiashara wa kutoshaa. Na nimesikia ni gorofa mbili kwaiyoo floo ya pili zinaweza kuwa stoo au kumbi za mikutano na floo ya kwanza na ya chini ni maduka kwa ajili ya wafanyabiashara ilaa ka wakijenga zaidi ya floo 3 itakua ka machinga complex Hamna kitu paleee labda juuu waweke hotel
Kwa makambako linaweza kuwaludishia kwasababu nilivyosikia wafanyabiashara wataamishwa kwenda soko la mbaoo sa apoo baada ya kuwahamisha toka kule inakua ni rahisi kuwarudishaa afuu kwa makambako ni sehemu kubwa litajengwaa kuanzia wanakouza nguo Hadi kwenye mazao tofauti na njombe walivunja wanakouza mazao kwaiyoo wauza nguo walibaki maeneo yaoo ndo maana soko kuu njombe Lina watu kidogooHao wafanyabiashara watatoka wapi tofauti na waliopo sasa? Unahamisha sehemu y kuwapeleka sehemu x..
Hadi sasa lile la Njombe umeona kuna pesa yeyote ya maana linaingiza? Likewise soko la Ndugai Dodoma liko wazi.Hivyo hivyo na Mwanjelwa market..
Miradi ya masoko na mastand makubwa ni upuuzi usio na maana,ndio maana hata Rais alisema watumie hayo majengo kwa ajili ya mambo mengine..
Hivi na sumbawanga mapato yake yapo vip maana mim huwa siamini Sana mapato ya ndani kuwa mkikusanya makubwa et ndo mji itaendelea labda kwenye vigezo vya kupanda hadhi ila si maendeleo Hilo nimeliona halmashauri nyingi tu mfano tu mufindi Ina mapato makubwa kuzidi hiyo sumbawanga lakini fika maeneo husika uone uhalisia kuanzia miundo mbinu utaona utofauti Ni mkubwa mno
Sumbawanga mapato ni kiduchu Sana sawa tuu na Makambako lakini ni Manispaa..Hivi na sumbawanga mapato yake yapo vip maana mim huwa siamini Sana mapato ya ndani kuwa mkikusanya makubwa et ndo mji itaendelea labda kwenye vigezo vya kupanda hadhi ila si maendeleo Hilo nimeliona halmashauri nyingi tu mfano tu mufindi Ina mapato makubwa kuzidi hiyo sumbawanga lakini fika maeneo husika uone uhalisia kuanzia miundo mbinu utaona utofauti Ni mkubwa mno
Umeshamaliza?Nimetoka kuishi njombe kwasasa nipo kahama, kwasasa kahama IPO juu Sana kimaendeleo, ukubwa na hata idadi ya watu bdo kahama IPO juu
Njombe battle zake labd Ni makambako, mpanda, Lindi ila kwa kahama hapana asee
YapUmeshamaliza?
Nimetoka kuishi njombe kwasasa nipo kahama, kwasasa kahama IPO juu Sana kimaendeleo, ukubwa na hata idadi ya watu bdo kahama IPO juu
Njombe battle zake labd Ni makambako, mpanda, Lindi ila kwa kahama hapana asee