Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Anafurahia maisha ,huyo sio mwenzako ni Tajiri,Deo Sanga aka Jah peopleMbunge wawapi huyu?
View attachment 1929084
Anafurahia maisha ,huyo sio mwenzako ni Tajiri,Deo Sanga aka Jah peopleMbunge wawapi huyu?
View attachment 1929084
Manyumbu ya ccm mnafarijiana 😆😆Mavumbini kusini kumetengwa, miradi mikubwa kanda ya ziwa na pwani, mkuu wa nchi anarudiarudia kanda ya ziwa na pwani, mavumbini kusini kwake mwiko
![]()
The Magic 101....kahamaMaskini wa KAHAMA tunakula maisha nyie 😀😀😀😀 Login • Instagram
View attachment 1886570View attachment 1886572View attachment 1886576View attachment 1886579
View attachment 1886582
View attachment 1886583
View attachment 1886585
Naam hivyo vitu Njombe havipoThe Magic 101....kahama
Wewe mwenyewe ni linyumbu la ccm lakini Rais bado anawatenga make kura za kusini mavumbini ni uhakika. Hata Rais na serikali yake asipofanya lolote huko mavumbini mnapigia kura ccm tu na ndo maana ahangaiki na nyie.Manyumbu ya ccm mnafarijiana![]()
Matajiri wa njombe nao hawako nyuma katika kula Bata la pombe za hamsini hamsiniMaskini wa KAHAMA tunakula maisha nyie 😀😀😀😀 Login • Instagram
View attachment 1886570View attachment 1886572View attachment 1886576View attachment 1886579
View attachment 1886582
View attachment 1886583
View attachment 1886585


Punguza UONGO!KAHAMA: kahama pana fursa ya maduka ya jumla jumla makubwa ambapo watu wa vijijini hufunga mizigo pale ongeza na watu wa Mpanda, Tabora na Kakonko hadi Kibondo wanafunga mizigo yao ya duka pale
Miji uliyotaja hapo sio mbeya,iringa sijui Nini
Slums tupo.
Vijijini SasaKuna wachawi watupu
![]()
Iringa hii ya ipogoro,Samora,sijui mkwawa
Hiv unaonaga tofauti ya manzese na iringa
Kimji kidogo halafu baridi Sasa. Shukuru kidogo mna tugorofa na vyuo but mji ule ni laan tupu
Ndo maana ATCL hawaendi huko Tena![]()
Mh. Rais anakuja tena kwa mara nyingine kanda kuu kanda ya ziwa, Ni mara ya tatu Sasa ndani ya miezi mitano toka awe Rais, kusini kumesahaulika mno hadi rais mwenyewe anapasahau![]()
Teh teh eti mnalisha nchi nzima!!Fresh tu Mzee, Huku kusini hatutegemei ccm, na haijawahi tokea. Tumejenga miji, makazi bora, mashule, Tumepeleka watoto mshuleni kwa kutegemea akili zetu na wala sio serikali dhalimu ya ccm. Na bado tunalisha nchi nzima na nchi jirani.



Iringa Haina tofauti na manzese kwa dar.Sasa baridi ina shida gani Mzee, umepanic Mkuu.
Miembeni bukoba town.Anafurahia maisha ,huyo sio mwenzako ni Tajiri,Deo Sanga aka Jah people
Umefufuka kutoka wafu .Miembeni bukoba town.
Among the beautiful towns in Tanzania.
Look at the modernity peopleView attachment 1929604View attachment 1929606View attachment 1929607View attachment 1929608View attachment 1929610View attachment 1929611View attachment 1929612
Unapost ushubwadu tu hapa.Umefufuka kutoka wafu .
Ngoja niendelee kukupiga nyundo za Swax kama hivi
View attachment 1929736
View attachment 1929737
View attachment 1929738
View attachment 1929739
View attachment 1929740
View attachment 1929741
Nyundo moja umekimbilia kwenye kichaka cha nature.Unapost ushubwadu tu hapa.
Nothing special
Angalia nature na uzuri wa mitaa ya bukoba.
Kasarani bukobaView attachment 1929742View attachment 1929743
Wapi picha za Kahama wewe nyumbu wa hukoUsirudie kuilinganisha kahama na haoooooo