Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Manyumbu ya ccm mnafarijiana
Wewe mwenyewe ni linyumbu la ccm lakini Rais bado anawatenga make kura za kusini mavumbini ni uhakika. Hata Rais na serikali yake asipofanya lolote huko mavumbini mnapigia kura ccm tu na ndo maana ahangaiki na nyie.
 
Matajiri wa njombe nao hawako nyuma katika kula Bata la pombe za hamsini hamsini
images-38.jpg
images-39.jpg
images-40.jpg
images-41.jpg
 
Iringa hii ya ipogoro,Samora,sijui mkwawa

Hiv unaonaga tofauti ya manzese na iringa

Kimji kidogo halafu baridi Sasa. Shukuru kidogo mna tugorofa na vyuo but mji ule ni laan tupu

Ndo maana ATCL hawaendi huko Tena

Sasa baridi ina shida gani Mzee, umepanic Mkuu.
 
Mh. Rais anakuja tena kwa mara nyingine kanda kuu kanda ya ziwa, Ni mara ya tatu Sasa ndani ya miezi mitano toka awe Rais, kusini kumesahaulika mno hadi rais mwenyewe anapasahau

Fresh tu Mzee, Huku kusini hatutegemei ccm, na haijawahi tokea. Tumejenga miji, makazi bora, mashule, Tumepeleka watoto mshuleni kwa kutegemea akili zetu na wala sio serikali dhalimu ya ccm. Na bado tunalisha nchi nzima na nchi jirani.
 
Fresh tu Mzee, Huku kusini hatutegemei ccm, na haijawahi tokea. Tumejenga miji, makazi bora, mashule, Tumepeleka watoto mshuleni kwa kutegemea akili zetu na wala sio serikali dhalimu ya ccm. Na bado tunalisha nchi nzima na nchi jirani.
Teh teh eti mnalisha nchi nzima!!

Leta takwimu
 
Back
Top Bottom